MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,294
- 4,920
Habari ya vita mtu anaongea kama ananunua mitumba kariakoo.Waziri wa Mambo ya nje Mh Mulamula amewataka watanzania takribani 300 walioko Ukraine wajitahidi waweze kuingia Poland ambako uratibu unafanyika.
Mulamula amesema ameona ubaguzi unaoendelea Ukraine kupitia mitandaoni na amesikitishwa sana lakini wananchi wasiwe na wasiwasi kwa sababu serikali inafuatilia kwa karibu sana.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu hata nikisema haitasaidia hao wanamaamuzi yao huko..Ulitaka kusema nini mkuu.. akili zipo sema hazina akili
MaChawa mna mapovu mengi sana.. povu lote hili kukataa ukweli . Pumbavu kabisa kabisa.Acha utoto. CCM ndo nini. Wale watoto walioko kule wamepelekwa na CCM. Unaingiza Siasa kwa mambo serious. Umejiuliza kwanini wazazi hawakuwatoa watoto wao mapema? Kusoma Ukraine [emoji1255] Nchi maskini lazima mzazi ajiweze. Je Tanzania Ina Ubalozi Ukraine au inategemea Huyu wa Ujerumani? Mambo haya sio rahisi sana. Wengi wanaenda nje bila kujisajiri kwenye Balozi husika au kujitambulisha tu. Shida ikitokea ndo Serikali mnaikumbuka. Ikifanya jambo lazima mtafute lawama. Umeambiwa Sasa wanafanya utaratibu wao wafike tu Poland. Unakuja na Vyama. Wewe chama gani mkuu. Fanya tofauti.
Hatukutarajia kichaa cha Putin kingepanda kiasi hiki....tulidhani ni mikwara tu.Et wana nchi wasiwe na wasiwasi.
CCM huwa hamjiongezi , Watu wameanza kuwatoa RAIA wao wiki kadhaa kabla ya Vita hiyo.
Nyie mnastuka saizi tena baada ya Raia kuhoji .
Sasa mipakani tu huko Ukraine, Waafrika wanabaguliwa ,hamna kuondoka , sisi wazungu kwanza ndo tunasepa .
Serikali ya akina mama. Hii nchi hiiWaingie Poland kwa usafiri gani.
Hivi ukimwambia mtu aliyeko mtwara aingie Kenya bila msaada wa kumuwezesha kufika Namanga again ataingia kweli Kenya?
Watawezaje kufika huko na watakuwa wanakula nini?
Very lowWaziri wa Mambo ya nje Mh Mulamula amewataka watanzania takribani 300 walioko Ukraine wajitahidi waweze kuingia Poland ambako uratibu unafanyika.
Mulamula amesema ameona ubaguzi unaoendelea Ukraine kupitia mitandaoni na amesikitishwa sana lakini wananchi wasiwe na wasiwasi kwa sababu serikali inafuatilia kwa karibu sana.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Waafrika tuna shida sana.Hili neno' tunafuatilia kwa karibu' huwa silielewi kabisa..
... intelejensia ilishindwa kung'amua uwezekano wa vita.Kwanini ilishindwa kuwatoa hali ilipoanza kuwa tete wakati wengine walipoanza kuondoka!
Tukumbuke vita haikuanza ghafla kwani maandalizi yalichukua zaidi ya wiki.
Aisee !Waafrika tuna shida sana.
Wengine hawa...View attachment 2135551
Wanabaguliwa! Wanaambiwa watembee kwa miguu magari hayatoshi kwa wa'ukraine' wenyewe! Jifunzeni kwa mataifa ya wengine kama China wamewezaje kuwaondoa raia wao zaidi ya 4000!Waziri wa Mambo ya nje Mh Mulamula amewataka watanzania takribani 300 walioko Ukraine wajitahidi waweze kuingia Poland ambako uratibu unafanyika.
Mulamula amesema ameona ubaguzi unaoendelea Ukraine kupitia mitandaoni na amesikitishwa sana lakini wananchi wasiwe na wasiwasi kwa sababu serikali inafuatilia kwa karibu sana.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Angekuwepo Magu haya yasingetokea maana Mulano asingekuwa mambo ya nje na ndege zote za air Tz zingeandamanishwa kwenda kuwachukua watz na WA Africa wanaonyanyapaliwa Ukraine! RIP mwamba raise wetu tuliyekupenda na kutupenda!Alichokiongea waziri Mulamula hakina maana wala msaada
Heri angekaa kimya tuu
Mungu wanusuru binadamu wasio na hatia
Mungu watembelee rais wa Russia na Ukraine ukawape moyo wa suluhu badala ya kumwaga damu zisizo na hatia
Intelligentsia kwa Sasa inafuatilia nani anayemsema mama, liz1, na januari na kumkumbuka Magu ili ashughulikiwe! Ilishapoteza muelekeo!Aisee !