Waziri Mwakyembe asikitishwa na viburi vya TFF, adai kama Amunike ameondolewa basi Karia na wenzie nao wajiuzulu

Kama Waziri haoni mapungufu ya Amunike na anataka viongozi wa TFF nao wang'oke, basi yeye na naibu wake na wao pia waondoke tu sasa
 
Kama Waziri haoni mapungufu ya Amunike na anataka viongozi wa TFF nao wang'oke, basi yeye na naibu wake na wao pia waondoke tu sasa
Karia anayeshughulika na soka 24/7/30/365 ndiye anayepaswa kujiuzulu.

Dr Mwakyembe ana mambo mengi......Habari, Sanaa, Utamaduni na michezo!
 
Amunke alistahili kuondoka baada ya mechi za kufuzu AFCON 2019. Wala sio tatizo la uongozi wa TFF. Ikumbukwe kuwa kufungwa kwa Taifa Stars siyo sababu ya kuondolewa kwake. Bali mfumo wake wa kuingoza timu na kupanga kikosi na kufanya mabadiliko kulionyesha kuwa ama anaihujumu au hajui.
 
Wewe umesomea wapi ukocha?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…