Waziri Mwakyembe asiwe msemaji wa Taifa Stars , aendelee kusimamia sera za chama chake

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
TFF ambao ndio wasimamizi wa mpira wa miguu , wanaye msemaji wake hakuna haja ya waziri kupora cheo cha mtu , ataharibu !

Ifahamike kwamba TFF inaye msemaji wake ambaye analipwa kwa kazi hiyo , hakuna haja ya waziri kuwa msemaji na mtafuta kambi ya mazoezi ya Timu ya Taifa , anauwa morali ya mashabiki bila kujua , labda kwa faida ya wadau ni kwamba Mh Mwakyembe ni miongoni mwa mawaziri wasiopendwa na wananchi ( sijui kwanini ) , kwahiyo mtu kama huyu kumkabidhi afanye oganaizesheni ya jambo lolote tutafeli vibaya sana .

naomba kuwasilisha .
 
Tunawajua kwa chuki zenu za kipuuzi. Kipi mnachangia kwenye hiyo timu ya taifa zaidi ya chuki na mgawanyiko. Mmeshajulikana ninyi ni mawakala wa mabeberu. Mtawapata nyumbu wenzenu
 
Tunawajua kwa chuki zenu za kipuuzi. Kipi mnachangia kwenye hiyo timu ya taifa zaidi ya chuki na mgawanyiko. Mmeshajulikana ninyi ni mawakala wa mabeberu. Mtawapata nyumbu wenzenu
jikite kwenye mada mkuu
 
Tunawajua kwa chuki zenu za kipuuzi. Kipi mnachangia kwenye hiyo timu ya taifa zaidi ya chuki na mgawanyiko. Mmeshajulikana ninyi ni mawakala wa mabeberu. Mtawapata nyumbu wenzenu
Hao mabebberu nani kawaleta,kama sio kina mwakyembe wabunge na mawaziri. Jikite kwenye mada siasa huziwezi,umekaririshwa
 
Kwenu hakuna zuri hata tukijadili hadi asubuhi. Lau asingeisemea bado ungelalama. Kwenu furaha ni watanzania kugawanyika
Serikali haijakatazwa kusaidia timu lakini hatutaki iwe ndio msemaji wa TFF .
 
Wameona kuna uwezekano wa Taifa stars kufuzu hivyo wameona wawe karibu
 
Anapenda sifa ndo kawaida take stars ilipofungwa alikaa kimya kuna madudu mengi yanafanyika michezoni lakini amekaa kimya kutwa taifa stars inaweka kambi wapi tutatumia kiasi hiki naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…