Waziri Mwakyembe ' mfowadie ' haraka Bosi wako JPM hizi ' SMS ' za Watanzania kutoka Mitandaoni kwa Kocha Amunike

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
" Kocha gani Mbichwa mkubwa tu kama Matikiti Maji ya Mbwinde aende zake tu "

" Ningemjua Mke wake huyu Kocha ningeenda Kumpa Ujauzito hata sasa hivi ili nimkomeshe tu "

" We Kocha ana Sura mbaya utadhani Kifaru anajisaidia Haja Kubwa unadhani kuna Ushindi hapo? "

" Tanzania tungeruhusiwa Kumiliki Silaha kama Njugu Nigeria leo wangerudishiwa Maiti yao tu "

" Hili Dubwana sijui TFF wameliokota wapi "

" Na asikanyage hapa Tanzania kwani tutamteka kuliko hata alivyotekwa Mo Dewji "

" Wewe Kocha gani wa Timu ya Taifa ana Kichwa Kikubwa kama Tairi za Vitz na IST? "

Kazi ipo!

Nawasilisha.
 
Watanzaniania, kama ilivyo kwa watu wa mataifa mengine, huwachukua muda mfupi tu kumtambua kumpinga na hatimae kuungana kumkataa kocha wa Timu ya Taifa kwasababu ya kuumizwa na matokeo mabaya ya timu yao.Lakini, ni watanzania hao hao, huwachukua muda mrefu kumtambua, kumpinga na hatimae kuungana kumkataa kiongozi mbovu ambae maamuzi yake huwaumiza wao na Taifa kwa ujumla!

Je, ni kwanini?
 
Jamani lets do a very positive analysis, lesotho iko 3000 metres above sea level , ni kama kuwa na uwanja wa mpira kitulo au kipengere, sisi wachezaji wanatoka Dar as sea level, kucheza mahali ambapo oxygen levels ni short inataka juhudi kubwa kuzoea, nahisi timu ingefanya mazoezi Ethiopia Kati ingezoea siyo South Africa, viongozi wa Michezo ni bure kabisa sii wachezaji
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuuu kunywa maji upunguze munkari
Nimecheka sana aisee
 
Kocha amekula korosho?

Ukitaka kuzisikia ' Nyongo ' za Watanzania Wewe wakere / waudhi tu katika Jambo leo jema wanalolitaka na ambalo wamelingojea na wanalihangaikia kwa muda mrefu. Kocha Amunike kayataka mwenyewe na nina uhakika hadi mwezi Machi mwakani ambapo tutakuwa ndiyo tunamalizia mechi yetu dhidi ya Uganda Cranes 'atayakoga ' sana tu na pengine anaweza hata akaamua ' Kujiuzuru ' na kuwapisha wengine.
 
Mimi nadhani tatizo co kocha,tatizo ni jadi yet watanzania, sisi tunachoweza ni kupiga deki lami na ngono zembe tu,na kwny viroba tulikuwa njema ila hapo walituweza, mpira co jadi yetu kabisa,nasubir hoja ya mbunge msukuma kasheku ipite bangi ziruhusiwe tuu,ila hata huyu kocha ni kopo kabisa
 
Ni hii mechi moja waliyozingua?
 
Hawana lolote wanashindwa kuichukia ccm inayowatia umaskini Badala yake
wamchukie Amunike
 

Mkuu kwa hasira nilizonazo na hiki ulichokiandika hapa nakuomba tu unyamaze kwani unaweza ukasababisha ' nikachafua ' hali ya hewa ya huu ' Uzi ' sasa hivi na nikakujibu vibaya sawa? Siku nyingine uwe unafanya angalau hata tafiti kidogo tu kabla ' hujakurupuka ' kuja hapa.

Kwa kukusaidia tu ni kwamba hali ya hewa ya Maseru nchini Lesotho kwa Kipindi hiki ni Joto Kali na Jua jingi na kama jana uliwasikia Watangazaji wa TBC Taifa akina Enock Bwigane na Mchambuzi Mwalimu Kashasha walisema mapema tu kabla ya mtanange / mchezo kuwa kwa suala ya hali ya hewa iliyokuwepo ilikuwa ni hii hii ambayo tumeizoea hapa Dar es Salaam Tanzania hivyo isingekuwa Kikwazo sasa inakuwaje Wewe unakuja tena hapa na ' Mazingaombwe ' yako haya?

Naomba usinizidishie hasira zangu tafadhali!
 
sodoliki hoja yako ni ya kitaalamu sana unaweza kuiongezea nyama kidogo ili ieleweke? Kuna watu wanadhani kushindwa kupanda Mlima Kilimanjaro ama mlima mwingine ule kunatokana na urefu wake, kumbe mwinuko toka usawa wa bahari huamua uwezo wa mtu kupumua na mwili kutenda kazi ipasavyo ama kama mwili ulivyozoea!!
 
Kunywa maji usikasirike dogoView attachment 939030

Lazima nikasirike tu Mkuu na kama angepanga moja ya Kikosi hiki wala yasingemkuta na asingetulaza kwa hasira kiasi hiki...

1. Aishi Manula

2. Shomari Kapombe / Salum Kimenya
3. Gadiel Michael
4. Erasto Nyoni
5. Kelvin Yondan
6. Jonas Mkude
7. Simon Msuva
8. Abubakary Salum / Faisal Salum
9. Thomas Ulimwengu / Shaaban Chilunda
10. John Boko

11. Shiza Kichuya

au

1. Aishi Manula

2. Ramadhan Kessy / Salum Kimenya
3. Abdi Banda / Gadiel Michael
4. Erasto Nyoni
5. Kelvin Yondan
6. Jonas Mkude
7. Simon Msuva
8. Faisal Salum / Abubakary Salum
9. Shaaban Chilunda / Thomas Ulimwengu
10. John Boko

11. Shiza Kichuya
 
Msamehee
 
Alichoniudhii kufanyia majaribio kwa wachezaji wa ajabu kwenye mechii muhimu kama ile ...

Yaan sisi ni kama bwana GENTAMYCINE unitongozee mcute na kumuweka line kila kitu nifike kwake nianze kung`ata kucha kwa kumuulizia anapenda series gani ili nianze kumusimulia ....yaani shubaaaakeeengeemitiiiii zake kochaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…