Waganda wanakuja Dar tuanze kusherehekea ushindi? Wafanzania sasa imekuwautamaduniJamani lets do a very positive analysis, lesotho iko 3000 metres above sea level , ni kama kuwa na uwanja wa mpira kitulo au kipengere, sisi wachezaji wanatoka Dar as sea level, kucheza mahali ambapo oxygen levels ni short inataka juhudi kubwa kuzoea, nahisi timu ingefanya mazoezi Ethiopia Kati ingezoea siyo South Africa, viongozi wa Michezo ni bure kabisa sii wachezaji
Ni kweli niiiachia ' Hirizi ' baada ya ' Mpuuzi ' huyu mbarika ' Kunitibua ' na nilimwambia kuwa naiachia na muda mchache tunafungwa na ndani ya dakika tatu tu tukapigwa ' Kidude ' kilichotung'ang'ania. Na cha Kushangaza huyo huyo mbarika baada ya Kuona kuwa nilichomhakikishia kilitimia akarudi tena Kwangu Kuomba ' po / radhi ' nikamjibu ' Kunya ' na kumwambia kuwa ameshachelewa.
Kuna baadhi ya Watu wanadhani kuwa Mshabiki wa kweli wa Taifa Stars ni mpaka labda usafiri na Timu kokote iendako kumbe wanasahau kwamba kuna Sisi wengine akina GENTAMYCINE michango yetu kwa hii Timu ni hasa katika upande wa Ulozi / Ndumba / Utamaduni / Ushirikina na binafsi nina ' Mtaalam ' wangu huko Pemba Kisiwani Zanzibar ambaye mara zote hakuna ambacho huniambia kinachohusiana na Mpira hasa huu wa Kibongobongo kisitimie.
Siku mbili kabla niliweka Kikosi ambacho Yeye mwenyewe ' Mtaalam ' aliniambia kuwa ndicho kinatakiwa Kianze dhidi ya Lesotho kwakuwa ' Kinyota ' Kingeibeba zaidi Timu na baadae tena baada ya Beki Shomari Kapombe Kuumia akanitumia tena Kingine ambacho kilikuwa na marekebisho machache tu na nakumbuka kila mara alikuwa anasisitiza kuwa kisibadilishwe hadi dakika zote 90 na nikawaomba Watu hapa ' waifowadi ' ile ' Line Up ' kwa Watu wa TFF na Benchi la Ufundi la Taifa Stars nikaonekana kama vile Pomboyo / Mpuuzi fulani hivi na hatimaye jana yametukuta.
Sasa kwakuwa mmenichokoza nawawekeeni hapa hapa na matokeo rasmi ya mechi ya Taifa Stars dhidi ya Uganda Cranes na Cape Verde dhidi ya Lesotho na nani atapita kati ya Tanzania, Lesotho na Cape Verde. Na hii ni kwa mujibu wa huyu huyu ' Mtaalam ' wangu hatari wa Kipemba.
Taarifa ikufikie popote pale ulipo ewe Mtanzania kwamba hiyo mechi yetu ya Uganda tutatoka sare ambayo itakuwa ama ya Magoli au isiyo na Magoli ila ni Sare ( Draw ) na mechi kati ya Cape Verde na Lesotho ni kwamba Cape Verde atashinda hivyo Kufikisha alama zake Saba ( 7 ) na kutuacha Tanzania na alama zetu Sita ( 6 ) na Lesotho watabaki na alama zao Tano ( 5 ) na hatimaye Cape Verde ndiyo ataungana rasmi na Uganda kwenda huko AFCON 2019.
Naomba hii ' post ' itunzwe na kila Mtu awe nayo kwani ndiyo ukweli wenyewe na hata Tanzania tufanye nini au tujitahidi kufanya juhudi zozote matokeo ndiyo hayo hayatabadilika. Ushauri wangu tu kwa TFF, Watanzania na hata Rais wetu Dkt. JPM ni kwamba hivi sasa tuwekeze nguvu zetu nyingi kwa Timu za Taifa za Vijana Serengeti Boys na Ngorongoro Heroes ili zifanye vyema katika michuano yao inayoshiriki sasa na pia tuanze sasa Kuiandaa Timu ya Taifa Stars ya Kufuzu na Kucheza AFCON ya 2021 ila hii ya Cameroon mwakani tumeshatepeta kama siyo kutokota na endeleeni tu Kudanganyana na Kupeana moyo.
Nimemaliza.
Kwa ufupi wachezaji wa Tz hawa fundishiki. Kocha hana tatizoJamani lets do a very positive analysis, lesotho iko 3000 metres above sea level , ni kama kuwa na uwanja wa mpira kitulo au kipengere, sisi wachezaji wanatoka Dar as sea level, kucheza mahali ambapo oxygen levels ni short inataka juhudi kubwa kuzoea, nahisi timu ingefanya mazoezi Ethiopia Kati ingezoea siyo South Africa, viongozi wa Michezo ni bure kabisa sii wachezaji
Kunywa maji usikasirike dogoView attachment 939030
Huyo jamaa jino linamuuma atakua anabangua korosho kwa meno.Mkuu kwa hasira nilizonazo na hiki ulichokiandika hapa nakuomba tu unyamaze kwani unaweza ukasababisha ' nikachafua ' hali ya hewa ya huu ' Uzi ' sasa hivi na nikakujibu vibaya sawa? Siku nyingine uwe unafanya angalau hata tafiti kidogo tu kabla ' hujakurupuka ' kuja hapa.
Kwa kukusaidia tu ni kwamba hali ya hewa ya Maseru nchini Lesotho kwa Kipindi hiki ni Joto Kali na Jua jingi na kama jana uliwasikia Watangazaji wa TBC Taifa akina Enock Bwigane na Mchambuzi Mwalimu Kashasha walisema mapema tu kabla ya mtanange / mchezo kuwa kwa suala ya hali ya hewa iliyokuwepo ilikuwa ni hii hii ambayo tumeizoea hapa Dar es Salaam Tanzania hivyo isingekuwa Kikwazo sasa inakuwaje Wewe unakuja tena hapa na ' Mazingaombwe ' yako haya?
Naomba usinizidishie hasira zangu tafadhali!
Hahaha joto Kali linauhusiano gani na ATTITUDE? Sitaki kukuzungumzia lakini inabidi nauliza ulisoma wapi na mpaka level gani.Mkuu kwa hasira nilizonazo na hiki ulichokiandika hapa nakuomba tu unyamaze kwani unaweza ukasababisha ' nikachafua ' hali ya hewa ya huu ' Uzi ' sasa hivi na nikakujibu vibaya sawa? Siku nyingine uwe unafanya angalau hata tafiti kidogo tu kabla ' hujakurupuka ' kuja hapa.
Kwa kukusaidia tu ni kwamba hali ya hewa ya Maseru nchini Lesotho kwa Kipindi hiki ni Joto Kali na Jua jingi na kama jana uliwasikia Watangazaji wa TBC Taifa akina Enock Bwigane na Mchambuzi Mwalimu Kashasha walisema mapema tu kabla ya mtanange / mchezo kuwa kwa suala ya hali ya hewa iliyokuwepo ilikuwa ni hii hii ambayo tumeizoea hapa Dar es Salaam Tanzania hivyo isingekuwa Kikwazo sasa inakuwaje Wewe unakuja tena hapa na ' Mazingaombwe ' yako haya?
Naomba usinizidishie hasira zangu tafadhali!
Kaka, Mfundishe huyu mrundi gentamycine, nishammuliza alisema WAPI?sodoliki hoja yako ni ya kitaalamu sana unaweza kuiongezea nyama kidogo ili ieleweke? Kuna watu wanadhani kushindwa kupanda Mlima Kilimanjaro ama mlima mwingine ule kunatokana na urefu wake, kumbe mwinuko toka usawa wa bahari huamua uwezo wa mtu kupumua na mwili kutenda kazi ipasavyo ama kama mwili ulivyozoea!!
Hahaha joto Kali linauhusiano gani na ATTITUDE? Sitaki kukuzungumzia lakini inabidi nauliza ulisoma wapi na mpaka level gani.
Kaka, Mfundishe huyu mrundi gentamycine, nishammuliza alisema WAPI?
Wastage of time and resourcesMimi sijasoma Elimu yoyote Mkuu na niliishia tu Darasa la Saba ila kwa ' IQ ' ambayo Mwenyezi Mungu amenibariki nayo na iliyotukuka nina uhakika Kuanzia Wewe, Familia yako na Koo zako zote mbili mkizijumlisha ' IQ's ' zenu hata hamuwezi Kufikia Robo Tatu tu ya niliyonayo. Nasisitiza tena Kwako kuwa GENTAMYCINE nimeishia Elimu ya Darasa la Saba tu ila nikupe pia hongera / kongole Wewe mwenye Elimu kubwa kunizidi lakini umeandika ' Uharo ' wako huu wa Kiwango cha Kimataifa.
Wastage of time and resources
Watanzania hatujazoea kushindana kwa haki.Watanzaniania, kama ilivyo kwa watu wa mataifa mengine, huwachukua muda mfupi tu kumtambua kumpinga na hatimae kuungana kumkataa kocha wa Timu ya Taifa kwasababu ya kuumizwa na matokeo mabaya ya timu yao.Lakini, ni watanzania hao hao, huwachukua muda mrefu kumtambua, kumpinga na hatimae kuungana kumkataa kiongozi mbovu ambae maamuzi yake huwaumiza wao na Taifa kwa ujumla!
Je, ni kwanini?
Jamani kuna kuzingua na kufikia uwezo. Team kubwa zile zinaweza kuwa na siku mbaya moja. sisi nadhani huu ndio uwezo wetu sasa kama umefikia mwisho wa uwezo ufanye nini? mpira wetu wa magazetini kama udaku kichwa cha kocha kikubwa kama vichwa vyetu vya habari. Tukubali mpira wetu bado na ndio maana unakuta nchi kama Kenya na Uganda kimyaa media zao lakini hao wanaenda Afcom na Burundi huyo... sasa sisi sikiliza habari zetu unaweza ukadhani tuko level zakina Senegal au Tunis.Ni hii mechi moja waliyozingua?
Mbona watu mnamlaumu kocha tuu bila kuongea lolote kuhusu hujuma za uwanja wa nyasi za plastic uliojazwa material ya rubber mengi kiasi cha kufanya mpira kukosa uelekeo? Hata wao bonafsi pamoja na kuuzoea uwanja huo uliwanyima magoli ya wazi kama mawili. Kingine uwanja opo wazi kabisa na upepo mkali ulikuwa unaingia kiasi cha kuaharibu mbinu na mipango ya timu. Hawa CAF kama walikuwa wanamwakilishi wo kwenye mechi ile wamejionea wenyewe. Mpira haukuchezwa pale zaidi ya kurukaruka, kauwanya kadogo hakana hata nafasi ya kutengeneza shambulizi? yaani hata uwanja wa AZAM ni bora kabisa. Nchi gani ile? kama walijua hawana uwanja si wangeomba wacheze kwa ndugu zao afrika ya kusini ?