Waziri Mwakyembe ' mfowadie ' haraka Bosi wako JPM hizi ' SMS ' za Watanzania kutoka Mitandaoni kwa Kocha Amunike

Hahaaaa we noma sana , inaonekana unapenda sana papuchi za wake za watu wanaokukera [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Yule alibet
 
Mkuu mechi za stars umeziangalia zote chini ya huyu kocha?
 
Anaweza kuwa na mapungufu yake lakini tusifikie hatua ya udhalilishaji
 
Tumpe muda. Ni rahisi kuona fursa ukiwa nje ya uwanja kuliko ukiwa ndani. Matusi kwa kocha utadhani yeye ndiye aliyeingia kucheza! Hivi tungeshinda bado mngemtukana?
 
Kwa maoni yangu na kusema ule ukweli, tunahitaji kuinua kiwango chetu cha mpira kwa kuweka mikakati mizuri ya soka la vijana. Ng'ombe hanenepi siku ya mnada hata umlishe vipi mapochopocho. Tunacheza mpira mdomoni zaidi kuliko uwanjani. Hata Fainali za Afcon tukienda na timu mbovu tutakuwa jamvi la wageni
 
Kocha mwenyewe mbona anafanana na mwakyembe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…