Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwel mkuu Ukitaka kujua wako Bongo bahat mbaya subr waumwe au watoto wao wanawasomesha ulaya! Afu wewe umekaa unaimba Tz i love you with all my heartHao hao Mawaziri na wao wanaona wako Bongo Bahati Mbaya.
Kwel mkuu Ukitaka kujua wako Bongo bahat mbaya subr waumwe au watoto wao wanawasomesha ulaya! Afu wewe umekaa unaimba Tz i love you with all my heart
Kwanini bahati mbaya?Mi mwenyewe ingekuw kwenda Ulaya ni kama tunavyotoka Dar kwenda Moro, walai ningekuwa nimeshasahau kama nilikuwaga Tz
Story za vijiweni, lini malkia alikuja bongoNilisikia nchi ilivyopata uhuru alikuja Malkia wa Uingereza kwenye celebration alikuja kwa meli, siku ya kuondoka kwa vile watanganyika walikuwa wakarimu, akasema mtu yeyote anayetaka kwenda Uingereza anakaribishwa. Matokeo wanasema alijitokeza mtu mmoja tu tena alikuwa mmakonde. Ingekuwa leo hii nafikiri Uingereza isingetosha