Umenchekesha sanaHao hao Mawaziri na wao wanaona wako Bongo Bahati Mbaya.
Aisee naona umefunguka sanaJadilini hoja acheni upuuzi.mtoa maada anasema huo wimbo unatujengea nini?Au unatoa funzo gani kwa vijana au vizazi vijavyo?wengine wanauliza ndo umeandika nini.kama huna hoja kaa kinywa waache wenye hoja wachangie.
jadilini hoja acheni upuuzi.mtoa maada anasema huo wimbo unatujengea nini?Au unatoa funzo gani kwa vijana au vizazi vijavyo?wengine wanauliza ndo umeandika nini.kama huna hoja kaa kinywa waache wenye hoja wachangie.
Hatari sanaHoja ya hapa ni kua tupo bongo bahati mbaya?
Rudi kijijini kwenu ukalime, BONGO tuachie wazaramuKiukweli tupo bongo bahati mbaya, kama hujagundua hilo wewe endelea tu na mawazo yako mgando "BONGO BAHATI MBAYA"
What... We unaonaje kwani?Duuuuh aisee
Hoja ni kwamba Bongo si sehemu salama kuishi hasa kwa vijanaJadilini hoja acheni upuuzi.mtoa maada anasema huo wimbo unatujengea nini?Au unatoa funzo gani kwa vijana au vizazi vijavyo?wengine wanauliza ndo umeandika nini.kama huna hoja kaa kinywa waache wenye hoja wachangie.
We umeridhika na maisha ya kufunga ubuyu?
Ili muendelee kuwashawishi watoto kuwa wadokozi majumbani kuja kununua ubuyu wenu?Rudi kijijini kwenu ukalime, BONGO tuachie wazaramu
jadilini hoja acheni upuuzi.mtoa maada anasema huo wimbo unatujengea nini?Au unatoa funzo gani kwa vijana au vizazi vijavyo?wengine wanauliza ndo umeandika nini.kama huna hoja kaa kinywa waache wenye hoja wachangie.