Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninaona umefurahi sana
Waende wakaishi Lebanon, Somalia au hata Syria.Vijana wana mambo. Eti kuwa Bongo ni bahati mbaya! Anajutia kwa nini yupo Bongo, la haula!
Aende mwenyewe huko UlayaYeye kakukaribisha ulaya ila ukitaka unaweza enda Singapore pale singida, Geneva pale Arusha
Iraq pale Iringa.. Bongo ni nickname ya Dar es salaam sio Tanzania..
NonesenseHao hao Mawaziri na wao wanaona wako Bongo Bahati Mbaya.
Hakuna nguvu inayotumika kuwabana hao vijana, ila ni lazima wakumbushwe kuwa wazalendo.Nguvu inayotumika kuwabana hawa vijana ingetumika kuwainua kimaisha, mfano kutoa elimu ya ujasiriamali, mikopo yenye riba nafuu, ajira nk tungekuwa mbali kama taifa.
Kwanini ajieleze kichochezi?...@Infantry Soldier,
Msanii anatumia uhuru wake wa kikatiba wa kujieleza.
Yes there is a problems. Don't you see it?Kwani kuna tatizoo
Habari za asubuhi members wa JF.
Kuna siku Jumamosi ile ya wiki iliyopita nikiwa ninafunga ubuyu kwenye mfuko na kuchomea na kibatari kwa ajili ya kwenda kuuza kwa wanafunzi pale shule ya Rutihinda nikasikia wimbo unaimbwa eti 'Tupo Bongo Bahati Mbaya' nikawauliza wadogo zangu niliokuwa nao karibu wakasema eti Kuna msanii anajiita Young Dar es Salaam (Young Dee) ndio ameimba tupo bongo bahati mbaya.
Na sasa kila kijana mpaka madereva wa boda boda wanaimba eti wapo hapa bongo bahati mbaya.
Waziri wa Habari, Vijana na Utamaduni, Mzee Mwakyembe pamoja na BASATA wanajua nyimbo kama hizi zinaua that sense of patriotism kwenye akili za vijana taratibu taratibu.
Vijana wanaanza kuichukia nchi wangali wadogo sana. Wanapandikizwa mentality mbovu na serikali inaona lakini bado wapo kimya tu hakuna wanachofanya. Sijui hawajausikia huu wimbo ama wameamua kuupotezea tu.
Ninawasilisha mada. Mimi mropokaji tu wahusika fanyieni kazi hili.
Linapokuja suala la UZALENDO kwa nchi yangu sitaki urafiki na mtu. Kamwe sitavumilia kuona nchi yangu inachafuliwa taswira yake njema na kutukanwa kisha nikakaa kimya tu...!!!!!!!!!Sikujua una roho mbaya hivi mkuu.......roho mbaya haijengi ndugu
Linapokuja suala la UZALENDO kwa nchi yangu sitaki urafiki na mtu. Kamwe sitavumilia kuona nchi yangu inachafuliwa taswira yake njema na kutukanwa kisha nikakaa kimya tu...!!!!!!!!!