Waziri Mwakyembe na BASATA ongezeni umakini. Msanii Young Dee anawazidi akili na anachochea ujinga

Waziri Mwakyembe na BASATA ongezeni umakini. Msanii Young Dee anawazidi akili na anachochea ujinga

Nguvu inayotumika kuwabana hawa vijana ingetumika kuwainua kimaisha, mfano kutoa elimu ya ujasiriamali, mikopo yenye riba nafuu, ajira nk tungekuwa mbali kama taifa.
 
Nguvu inayotumika kuwabana hawa vijana ingetumika kuwainua kimaisha, mfano kutoa elimu ya ujasiriamali, mikopo yenye riba nafuu, ajira nk tungekuwa mbali kama taifa.
Hakuna nguvu inayotumika kuwabana hao vijana, ila ni lazima wakumbushwe kuwa wazalendo.
 
Bi serikali ya ccm ndio inafanya watu wajione wamo inchini kwao bahati mbaya
 
Sikujua una roho mbaya hivi mkuu.......roho mbaya haijengi ndugu
Habari za asubuhi members wa JF.

Kuna siku Jumamosi ile ya wiki iliyopita nikiwa ninafunga ubuyu kwenye mfuko na kuchomea na kibatari kwa ajili ya kwenda kuuza kwa wanafunzi pale shule ya Rutihinda nikasikia wimbo unaimbwa eti 'Tupo Bongo Bahati Mbaya' nikawauliza wadogo zangu niliokuwa nao karibu wakasema eti Kuna msanii anajiita Young Dar es Salaam (Young Dee) ndio ameimba tupo bongo bahati mbaya.

Na sasa kila kijana mpaka madereva wa boda boda wanaimba eti wapo hapa bongo bahati mbaya.

Waziri wa Habari, Vijana na Utamaduni, Mzee Mwakyembe pamoja na BASATA wanajua nyimbo kama hizi zinaua that sense of patriotism kwenye akili za vijana taratibu taratibu.

Vijana wanaanza kuichukia nchi wangali wadogo sana. Wanapandikizwa mentality mbovu na serikali inaona lakini bado wapo kimya tu hakuna wanachofanya. Sijui hawajausikia huu wimbo ama wameamua kuupotezea tu.

Ninawasilisha mada. Mimi mropokaji tu wahusika fanyieni kazi hili.

 
Sikujua una roho mbaya hivi mkuu.......roho mbaya haijengi ndugu
Linapokuja suala la UZALENDO kwa nchi yangu sitaki urafiki na mtu. Kamwe sitavumilia kuona nchi yangu inachafuliwa taswira yake njema na kutukanwa kisha nikakaa kimya tu...!!!!!!!!!
 
Sio uzalendo unatafuata uteuzi

Kwani bongo si bahati mbaya tu?
Linapokuja suala la UZALENDO kwa nchi yangu sitaki urafiki na mtu. Kamwe sitavumilia kuona nchi yangu inachafuliwa taswira yake njema na kutukanwa kisha nikakaa kimya tu...!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom