Huku wasilete var maana kina tatu malogo watatunyoosha kwelikweli, alafu Kuna viwanja camera tu wameshindwa kufunga var zitafanya kazi taifa na chamazi tu au?
Maana kama Jana mechi ya playoff, ile red card na goli la penalty azam walijitahidi kurudia ila wapi hapakua na camera angle nzuri hata moja