Mchumi mbobevu toka nduguti.
Mahesabu ya mnadani huko kwao ndio leo anadiscuss uchumi wa duniani.
Ndo zinabakia blaa blaah tu na porojo kibao.
Huyo ni wa kupeleka wizara ya mbuzi na kilimo huko atafaa.
Hapo mmemuonea tu kumpa hicho cheo.
Kiongozi upo kutoa solution na sio kulalamika, tunategemea Waziri wa fedha aje na mikakati na sio malalamiko kana kwamba na yeye ni raia wa kawaida sana.
Mchumi mbobevu toka nduguti.
Mahesabu ya mnadani huko kwao ndio leo anadiscuss uchumi wa duniani.
Ndo zinabakia blaa blaah tu na porojo kibao.
Huyo ni wa kupeleka wizara ya mbuzi na kilimo huko atafaa.
Hapo mmemuonea tu kumpa hicho cheo.
Cheti chenyewe che udakatri cha kudesa, hata hakukitetea! Hicho cheo hakimfai! Anaongea kama anaongea na watoto wa shule za vidudu, tena zile za St Kayumba! Huyu ni wa kupumzisha! Jinga kabisa!