Waziri Mwigulu kajifunze kwa Mzee Msuya na Mtei. Bajeti ya nchi haiwezi kuchezewa

Waziri Mwigulu kajifunze kwa Mzee Msuya na Mtei. Bajeti ya nchi haiwezi kuchezewa

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Mh Mwigulu nakushauri uende kuwaona wazee wawili- mzee Msuya na mzee Mtei ambao nina hakika unajua walikuwa mawaziri wa fedha kama wewe wakati ule wa shida kuliko hizi za leo- ila walisimamaia bajeti na kutoa maelezo ilipobidi. Unaendeshaje uchumi wa nchi namna hii- yaani ni unazidiwa na mama lishe?

Mh. Mwigulu kwa siku mama lishe anaweza kupambana na kupanda kwa bei ya karoti mara 3, kwa wiki samaki wanaweza kupanda mara 3 lakini hatuwaoni wnapandisha bei ya sahani za chakula- Mh. Mwigulu unafeli wapi?

Mnapanick kwa nini- sisi tuna mafuta - Kenya na katiba mpya hawana mafuta lakini wametulia shida nini?

Ninajua wanasiasa mnabakwa na wanaharakati wala si wananchi, wananchi tunaelewa, ninajua mnaogopa uchaguzi ujao- msitishike Mungu atasimama na ukweli; na kama akipenda awape mtihani wanaharakati tuone kama watakuwa na uwezo wa kuzuia mafuta kupanda; tuone kana wataweza kuendesha nchi bila kutoza kodi na tozo.
 
Mbona bei zinampanda kila Uchao lakini salary haipandi sisi tumetulia tu

Maisha yana uongo mwingi sana na wala sio lazima bei ya mafuta ikipanda basi kila kitu kipande

Jaman watumishi hasa wa umma namaanisha walimu wana hali ngumu sana kwa sasa

Sasa viongozi wanatakiwa shushangaa kwanini wanakopa sana

Khali si khali
 
Mh Mwigulu nakushauri uende kuwaona wazee wawili- mzee Msuya na mzee Mtei ambao nina hakika unajua walikuwa mawaziri wa fedha kama wewe wakati ule wa shida kuliko hizi za leo- ila walisimamaia bajeti na kutoa maelezo ilipobidi. Unaendeshaje uchumi wa nchi namna hii- yaani ni unazidiwa na mama lishe?

Mh. Mwigulu kwa siku mama lishe anaweza kupambana na kupanda kwa bei ya karoti mara 3, kwa wiki samaki wanaweza kupanda mara 3 lakini hatuwaoni wnapandisha bei ya sahani za chakula- Mh. Mwigulu unafeli wapi?

Mnapanick kwa nini- sisi tuna mafuta - Kenya na katiba mpya hawana mafuta lakini wametulia-shida nini?

Ninajua wanasiasa mnabakwa na wanaharakati wala si wananchi, wananchi tunaelewa, ninajua mnaogopa uchaguzi ujao- msitishike Mungu atasimama na ukweli; na kama akipenda awape mtihani wanaharakati tuone kama watakuwa na uwezo wa kuzuia mafuta kupanda; tuone kana wataweza kuendesha nchi bila kutoza kodi na tozo.
Ukabila tu mtei naye MTU , huyu mwizi wa BOT na akaichoma moto kuficha ushahidi Kisha akakimbilia kwenye siasa


USSR
 
Mh Mwigulu nakushauri uende kuwaona wazee wawili- mzee Msuya na mzee Mtei ambao nina hakika unajua walikuwa mawaziri wa fedha kama wewe wakati ule wa shida kuliko hizi za leo- ila walisimamaia bajeti na kutoa maelezo ilipobidi. Unaendeshaje uchumi wa nchi namna hii- yaani ni unazidiwa na mama lishe?

Mh. Mwigulu kwa siku mama lishe anaweza kupambana na kupanda kwa bei ya karoti mara 3, kwa wiki samaki wanaweza kupanda mara 3 lakini hatuwaoni wnapandisha bei ya sahani za chakula- Mh. Mwigulu unafeli wapi?

Mnapanick kwa nini- sisi tuna mafuta - Kenya na katiba mpya hawana mafuta lakini wametulia-shida nini?

Ninajua wanasiasa mnabakwa na wanaharakati wala si wananchi, wananchi tunaelewa, ninajua mnaogopa uchaguzi ujao- msitishike Mungu atasimama na ukweli; na kama akipenda awape mtihani wanaharakati tuone kama watakuwa na uwezo wa kuzuia mafuta kupanda; tuone kana wataweza kuendesha nchi bila kutoza kodi na tozo.
Huja eleweka kabisa.
Ni jambo la aibu kufananisha nyumba yako na nyumba ya jirani.
Tatizo la Kenya sio tatizo lililopo Tanzania.
Kenya waagizaji wa mafuta walikuwa na mgomo. Ndio ulio sababisha upungufu.
Kwetu ubabaishaji ndio tatizo.
Huwezi leta meli uiweke nje wiki mbili bila kushusha mzigo halafu kuwe na bei linganishi na nchi jirani. Uzembe wetu ndio maumivu kwa wananchi. Viongozi mna takiwa kuwa na huruma na wananchi.
Mwigulu hajawahi kuwa kiongozi mwenye maono tangu nimfahamu. Mzee wa maiti toka Somalia. Kama hutaki tozo nenda Burundi.. Majibu ya kiongozi mwenye dhamana..
 
Huja eleweka kabisa.
Ni jambo la aibu kufananisha nyumba yako na nyumba ya jirani.
Tatizo la Kenya sio tatizo lililopo Tanzania.
Kenya waagizaji wa mafuta walikuwa na mgomo. Ndio ulio sababisha upungufu.
Kwetu ubabaishaji ndio tatizo.
Huwezi leta meli uiweke nje wiki mbili bila kushusha mzigo halafu kuwe na bei linganishi na nchi jirani. Uzembe wetu ndio maumivu kwa wananchi. Viongozi mna takiwa kuwa na huruma na wananchi.
Mwigulu hajawahi kuwa kiongozi mwenye maono tangu nimfahamu. Mzee wa maiti toka Somalia. Kama hutaki tozo nenda Burundi.. Majibu ya kiongozi mwenye dhamana..
Mkuu kama umeweza kujibu utakuwa umejitahidi sana kunielewa na umenielewa. NASHUKURU.
Kenya walipatwa na matatizo mawili
1. kupanda kwa bei ya mafuta kwenye vituo
2. kutokuwepo kwa mafuta kwenye vituo
Tunafanana kwa hilo la kwanza. na hapa nimpe kongele Mh. Mwigulu kahakisha mafuta yapo. Kwa hilo la pili- watu wanaweza vipi kugoma kuleta mafuta? Hii ina maana Kenya na Katiba yao mpya ni dhaifu. Kwa Tanzania habari ya kugoma kuleta mafuta ilimalizwa na BULKY PROCUREMENT wakati wa waziri wa nishati Ngeleja.

UGOMVI wangu na Mh. Mwigulu ni kutosimamia bajeti kwa kudemka na maneno ya wanaharakati.
 
Ukabila tu mtei naye MTU , huyu mwizi wa BOT na akaichoma moto kuficha ushahidi Kisha akakimbilia kwenye siasa


USSR
Mkuu hayo yako; si hatuangalii rangi ya paka ili mradi anakamata panya hakuna tabu. Je wewe uliyeiba mtihani wa fomu 2 tukufanyeje?
 
Mkuu hayo yako; si hatuangalii rangi ya paka ili mradi anakamata panya hakuna tabu. Je wewe uliyeiba mtihani wa fomu 2 tukufanyeje?
Sasa wewe SI ndio panya Sasa


USSR
 
Mh Mwigulu nakushauri uende kuwaona wazee wawili- mzee Msuya na mzee Mtei ambao nina hakika unajua walikuwa mawaziri wa fedha kama wewe wakati ule wa shida kuliko hizi za leo- ila walisimamaia bajeti na kutoa maelezo ilipobidi. Unaendeshaje uchumi wa nchi namna hii- yaani ni unazidiwa na mama lishe?

Mh. Mwigulu kwa siku mama lishe anaweza kupambana na kupanda kwa bei ya karoti mara 3, kwa wiki samaki wanaweza kupanda mara 3 lakini hatuwaoni wnapandisha bei ya sahani za chakula- Mh. Mwigulu unafeli wapi?

Mnapanick kwa nini- sisi tuna mafuta - Kenya na katiba mpya hawana mafuta lakini wametulia-shida nini?

Ninajua wanasiasa mnabakwa na wanaharakati wala si wananchi, wananchi tunaelewa, ninajua mnaogopa uchaguzi ujao- msitishike Mungu atasimama na ukweli; na kama akipenda awape mtihani wanaharakati tuone kama watakuwa na uwezo wa kuzuia mafuta kupanda; tuone kana wataweza kuendesha nchi bila kutoza kodi na tozo.
ccm mbele kwa mbele wenzio wanawaza uchaguzi2 na namna ya kupaki madaraka
 
Mh Mwigulu nakushauri uende kuwaona wazee wawili- mzee Msuya na mzee Mtei ambao nina hakika unajua walikuwa mawaziri wa fedha kama wewe wakati ule wa shida kuliko hizi za leo- ila walisimamaia bajeti na kutoa maelezo ilipobidi. Unaendeshaje uchumi wa nchi namna hii- yaani ni unazidiwa na mama lishe?

Mh. Mwigulu kwa siku mama lishe anaweza kupambana na kupanda kwa bei ya karoti mara 3, kwa wiki samaki wanaweza kupanda mara 3 lakini hatuwaoni wnapandisha bei ya sahani za chakula- Mh. Mwigulu unafeli wapi?

Mnapanick kwa nini- sisi tuna mafuta - Kenya na katiba mpya hawana mafuta lakini wametulia-shida nini?

Ninajua wanasiasa mnabakwa na wanaharakati wala si wananchi, wananchi tunaelewa, ninajua mnaogopa uchaguzi ujao- msitishike Mungu atasimama na ukweli; na kama akipenda awape mtihani wanaharakati tuone kama watakuwa na uwezo wa kuzuia mafuta kupanda; tuone kana wataweza kuendesha nchi bila kutoza kodi na tozo.
Mbona hujaonesha bajeti inavyochezewa?
 
Back
Top Bottom