Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Mwigulu Nchemba akisoma bajeti ya serikali bungeni amesema suala la taasisi binfasi na za umma kutaka malipo ya huduma kwa fedha za kigeni zinaleta shida kwa watanzania kwa kuwa wanatumia Tsh na sio dola.
Amesema suala hili linafanya watanzania kuhangaika kuipata dola, wakati inabidi hata wageni wakija nchini wahangaike kuipata shilingi na sio dola. Kutokana na jambo hilo amesema kuwa kuanzia Julai 1, 2024 malipo yote kwa taasisi za umma na binafsi watatakiwa kupokea malipo kwa shilingi tu.
Aidha amesema kama mtu atakuja na fedha za kigeni, atatakiwa kwanza kuzibadilisha na kupata shilingi ya Tanzania ili kufanya malipo
===
Pia soma:
- News Alert: - Waziri Mwigulu awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025
Amesema suala hili linafanya watanzania kuhangaika kuipata dola, wakati inabidi hata wageni wakija nchini wahangaike kuipata shilingi na sio dola. Kutokana na jambo hilo amesema kuwa kuanzia Julai 1, 2024 malipo yote kwa taasisi za umma na binafsi watatakiwa kupokea malipo kwa shilingi tu.
Aidha amesema kama mtu atakuja na fedha za kigeni, atatakiwa kwanza kuzibadilisha na kupata shilingi ya Tanzania ili kufanya malipo
===
Pia soma:
- News Alert: - Waziri Mwigulu awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025