Tamko hili halijawahi kubadili utaratibu wa ubadilishaji wa fedha.
Soko huria linaamuliwa kwa nguvu ya "uhitaji na kilichopo sokoni"(Demand and Supply).
sera,kubadilika mara kwa mara na kukosa misimamo katika bei za bidhaa inaleta hofu na hivyo kusababisha bei kupanda hovyo na hivyo kushusha thamani ya shiĺingi.
Kama Serikali inataka kudhibiti mfumko wa bei,hakikisheni EWURA,na LATRA wanaacha kutoa matamko ya kupandisha nauli na bei za mafuta baada ya bajeti kupitidhwa.
Mfano EWURA kila mwezi anapandisha bei,unakuta leo anaita vyombo vya habari na kutangaza bei yamafuta kwa mwezi ujao(mbona bidhaa zingine hazipangiwi bei mwezi mmoja kabla?,Hii Marehemu Rais wa Awamu ile alikemea na hatukuona bei zinapanda kiholela).
Ushauri,Serikali idhibiti kupanda kwa bei mbalimbali,na kudhibiti matumizi ya Serikali ili tuimarishe shilingi, na kusaidia bei kushuka.
Soko huria linaamuliwa kwa nguvu ya "uhitaji na kilichopo sokoni"(Demand and Supply).
sera,kubadilika mara kwa mara na kukosa misimamo katika bei za bidhaa inaleta hofu na hivyo kusababisha bei kupanda hovyo na hivyo kushusha thamani ya shiĺingi.
Kama Serikali inataka kudhibiti mfumko wa bei,hakikisheni EWURA,na LATRA wanaacha kutoa matamko ya kupandisha nauli na bei za mafuta baada ya bajeti kupitidhwa.
Mfano EWURA kila mwezi anapandisha bei,unakuta leo anaita vyombo vya habari na kutangaza bei yamafuta kwa mwezi ujao(mbona bidhaa zingine hazipangiwi bei mwezi mmoja kabla?,Hii Marehemu Rais wa Awamu ile alikemea na hatukuona bei zinapanda kiholela).
Ushauri,Serikali idhibiti kupanda kwa bei mbalimbali,na kudhibiti matumizi ya Serikali ili tuimarishe shilingi, na kusaidia bei kushuka.