Waziri Mwigulu: Mfumuko wa bei hausababishwi na Sera wala Uzembe. Fedha ya COVID 19 imeongeza mzunguko Vijijini na Deni la taifa ni himilivu

Waziri Mwigulu: Mfumuko wa bei hausababishwi na Sera wala Uzembe. Fedha ya COVID 19 imeongeza mzunguko Vijijini na Deni la taifa ni himilivu

Hana credibility ya kuwa wazira Wala mtumishi alipazwa kuwa mtekaji watu tu
 
Haya yanayoka kwa mtu aliyemshauri Rais kukopa ili kulipa deni.
 
Hivi hawa watu huwa wanaongelea vijiji hivi vya Upangwa, Mgendela na Igwachanya au Mifukoni mwao wanaita vijijini?
Watu wepi na nani alieziweka mfukoni mwake?

Madarasa yaliyojengwa Tanzania nzima nzima hujayaona basi hata picha au kusikia hujasikia?

Mzunguko wa pesa uliopo hivi sasa utaufananisha na wakati wa "bwana yule"ambako pesa zote zilipelekwa miradi mikubwa ya wakandarasi kutoka nje ya Tanzania na zingine zikaishia miradi ya Chato au yakuelekea Chato?
 
Watu wepi na nani alieziweka mfukoni mwake?

Madarasa yaliyojengwa Tanzania nzima nzima hujayaona basi hata picha au kusikia hujasikia...

Huwezi kumfananisha uongozi wa marehemu jpm na mama samia tofauti kabisa marehemu jpm alikuwa rais bora kuliko woote. hakuna wakulingana na jpm
 
Waziri wa Fedha na Mipango Mh. Dkt. Mwigulu Nchemba amesema mfumuko wa bei na kupanda kwa gharama za maisha kwa wananchi hakusababishwi na tatizo la kisera wala uzembe bali unatokana na uwepo wa majanga yanayoendelea kuikumba dunia.

Dkt. Mwigulu ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na wahariri wa vyombo vya Habari akieleza utendaji na mafanikio ya serikali ya awamu ya sita katika kipindi cha mwaka mmoja wa Rais Samia Suluhu Hassan.

ITV
 
Waziri wa Fedha na Mipango Mh. Dkt. Mwigulu Nchemba amesema mfumuko wa bei na kupanda kwa gharama za maisha kwa wananchi hakusababishwi na tatizo la kisera wala uzembe bali unatokana na uwepo wa majanga yanayoendelea kuikumba dunia.

Dkt. Mwigulu ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na wahariri wa vyombo vya Habari akieleza utendaji na mafanikio ya serikali ya awamu ya sita katika kipindi cha mwaka mmoja wa Rais Samia Suluhu Hassan.

ITV
Waziri mbovu sn
 
Siyo kweli ni uzembe. Mbona huwa wanajisifu sana wakidhibiti mfumuko wa bei. Iweje wakishindwa kudhibiti waseme siyo kosa lao?
 
Mwigullu asipokuwa makini ataweka historia ya kuwa Waziri wa fedha aliyefeli kupita wote waliomtangulia toka tupate uhuru.

Atazidiwa hata na Prof Kighoma Malima rip.
 
Back
Top Bottom