Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Vita ya Ukraime kafanya nini? Covid 19 nakubali kuzidi kuwakumbatia na Kuwalipa mishahara na marupurupu wale wabunge FEKI.Akisoma bajeti ya serikali bungeni waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema, Rais Samia amekamilisha miradi mingi mbali na changamoto alizozikuta ikiwemo COVID19 na vita vya Ukraine
Mwigulu ameutaja mradi wa SGR kama mmoja wa mradi uliokamilika ambao amesema hadi sasa nauli zimeshatangazwa ambazo ni takribani Tsh 30,000 kwa safari ya Dar hadi Dodoma
Dar - Dom treni hii inachukua masaa mangapi?Akisoma bajeti ya serikali bungeni waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema, Rais Samia amekamilisha miradi mingi mbali na changamoto alizozikuta ikiwemo COVID19 na vita vya Ukraine
Mwigulu ameutaja mradi wa SGR kama mmoja wa mradi uliokamilika ambao amesema hadi sasa nauli zimeshatangazwa ambazo ni takribani Tsh 30,000 kwa safari ya Dar hadi Dodoma
Akisoma bajeti ya serikali bungeni waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema, Rais Samia amekamilisha miradi mingi mbali na changamoto alizozikuta ikiwemo COVID19 na vita vya Ukraine
Mwigulu ameutaja mradi wa SGR kama mmoja wa mradi uliokamilika ambao amesema hadi sasa nauli zimeshatangazwa ambazo ni takribani Tsh 30,000 kwa safari ya Dar hadi Dodoma
2Dar - Dom treni hii inachukua masaa mangapi?
Ni masaa sita sio mawili ni 80km per hour
Latra wameweka bei wazi kwa hiyo treni.Kadogosa: Nauli ya Treni ya Mchongoko Dar - Dodoma itakuwa tsh 100,000 - 120,000
Mkurugenzi wa TRC Kadogosa amesema nauli ya Treni ya Mchongoko( Mjusi) itakuwa Kati ya tsh 100,000 - 120,000 Source: Swahili Times Mlale Unono 😃😃 ========= Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema bei za treni za mchongoko zitakuwa Tsh. 100,000 hadi...www.jamiiforums.com
Haiwezekani. Labda kama ni Morogoro.
Masaa yote hayo!??Ni masaa sita sio mawili ni 80km per hour
Mwongo SGR Hadi Dodoma ni laki moja Kwa mujibu wa mkurugenzi wa TRCAkisoma bajeti ya serikali bungeni waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema, Rais Samia amekamilisha miradi mingi mbali na changamoto alizozikuta ikiwemo COVID19 na vita vya Ukraine
Mwigulu ameutaja mradi wa SGR kama mmoja wa mradi uliokamilika ambao amesema hadi sasa nauli zimeshatangazwa ambazo ni takribani Tsh 30,000 kwa safari ya Dar hadi Dodoma
Kwani kwa basi ni masaa mangapi? Kama sio zaidi ya sita.Masaa yote hayo!??
Nane tofauti masaa 2Kwani kwa basi ni masaa mangapi? Kama sio zaidi ya sita.
Hapo hifauti ni ndogo sanaa nauli kwa basi dar hadi dodoma ni 40,000 kwa train ni 30,000 impact ni finyu sanaa.Nane tofauti masaa 2
Ndogo mnoHapo hifauti ni ndogo sanaa nauli kwa basi dar hadi dodoma ni 40,000 kwa train ni 30,000 impact ni finyu sanaa.
Za economy au?Latra wameweka bei wazi kwa hiyo treni.
Bei ulizoweka ni za daraja la Economy tu. Ukitaka nenda huko.
Yes. Ingia daraja la EconomyZa economy au?