Waziri Mwigulu: Nauli ya Dar kwenda Dodoma kwa treni ya Standard Gauge ni Takriban 30,000

Waziri Mwigulu: Nauli ya Dar kwenda Dodoma kwa treni ya Standard Gauge ni Takriban 30,000

Akisoma bajeti ya serikali bungeni waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema, Rais Samia amekamilisha miradi mingi mbali na changamoto alizozikuta ikiwemo COVID19 na vita vya Ukraine

Mwigulu ameutaja mradi wa SGR kama mmoja wa mradi uliokamilika ambao amesema hadi sasa nauli zimeshatangazwa ambazo ni takribani Tsh 30,000 kwa safari ya Dar hadi Dodoma
Wabongo walivyo watatukana kwa kusema vita vya ukraine inatuhusu nini😅,
 
Hiyo EMU ya VIP ile electric lokomotive bei ya kawaida.
Hapo zipo treni mbili.
 
Mwongo SGR Hadi Dodoma ni laki moja Kwa mujibu wa mkurugenzi wa TRC
Ya laki ni ya EMU,kuna EMU na electric lokomotive.
Ordinary class 31k mpaka Dodoma.
VIP ndio 100k.
Zipo treni aina mbili za umeme.
Ya bei ni ile Express itasimama vituo viwili tu Mkundi na Dodoma mjini.
Hiyo ya 31k ni ya kusimama kila kituo.
 
Mbona DG wa Reli kasema nauli ni Laki' + au Mimi sielewi mada!?
 
Back
Top Bottom