Kuna kipindi flani 2015 mwishoni hadi mwanzoni wa 2021 mwanzoni wafanyakazi wote waajiliwa wa serikali katika sekta zote,afya,mawasiliano,kilimo,nk walikuwa wanawajibika. hawa TRA TZ hata ukipiga akipokea,mtoa huduma ukimwambia nilikupgia nikusalimie, anasema ahsante. sasa hali ni mbaya maofsini.