Waziri Mwigulu: Serikali imeomba msaada au mkopo wa trilioni 7

Waziri Mwigulu: Serikali imeomba msaada au mkopo wa trilioni 7

Magufuli alikopa kwa akili!
Kukopa kwa akili maana yake nini?

Magufuli alikopa halafu akawa anaturubuni kila Jambo analolifanya ni kwa pesa zetu ilihali deni la taifa linakuwa.

Kinachomgharimu mama ni uwazi si vinginevyo.
Defenitry
 
Ukitoka huo mkopo ina maana ndani ya miezi 9 tutakua tumekopa 17trilion kama deni la nje. Hio trend unaona nzuri? Magufuli alikopa kwa akili na vitu alivyofanya vimeonekana.
Watakwambia mbona magu alikopa trillion 29 hamkusema kitu!

Mi naisubiria ripoti ya CAG tu ambayo itamkaanga vizuri Hangaya😅 naomba muendelee na sifa hizi hizi hata baada ya ripoti kusomwa!
 
Magufuli alikopa kwa akili!
Kukopa kwa akili maana yake nini?

Magufuli alikopa halafu akawa anaturubuni kila Jambo analolifanya ni kwa pesa zetu ilihali deni la taifa linakuwa.

Kinachomgharimu mama ni uwazi si vinginevyo.
Sawa sasa kuwarubuni lakini matokeo ya mkopo si mliyaona? Hizo trillion 29 hamuoni mambo yaliofanyika kwa dhahiri kabisa?

Yani kuna watu mnatia hasira ningekuwa na gun ningekuchapa ya vidole ili uache ku type upuuzi! Sawa alidanganya kwani hizo hela zimeishia mfukoni mwake? Kwamba alidanganya ila hamna alichokifanya?
 
Ndani ya miezi 9 amevuka nusu ya deni la JPM la miaka 6…hili unaliongeleaje..
Kuna
Majitu ni ya kuyapaka KY Gel tu kwenye makalio ili yachomekwe ukuni! People are arguing bullshit oh alitudanganya haya hizo pesa mlizikuta chumbani kwake??? Kazificha
 
Magufuli alikopa kwa akili!
Kukopa kwa akili maana yake nini?

Magufuli alikopa halafu akawa anaturubuni kila Jambo analolifanya ni kwa pesa zetu ilihali deni la taifa linakuwa.

Kinachomgharimu mama ni uwazi si vinginevyo.
Hai justify ukopaji wa kupindukia anaoufany bi tozo! Hata angefanya kwa siri still isinge justify kukopa trillion 17 ndani ya miezi 10
 
Lini bunge la Tz, limekuwa likipitisha mikopo?kama spika tu mwenyewe kuna wakati anashangaa,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hai justify ukopaji wa kupindukia anaoufany bi tozo! Hata angefanya kwa siri still isinge justify kukopa trillion 17 ndani ya miezi 10
Alafu tunaambiwa ni mikopo 'nafuu' huu ni upumbavu, tumekuwa taifa lenye kujisifia kwa kukopa hovyo, Mpaka huyu mama amalize Muhula wake hii nchi kuna vitu vingi tu vitakuwa vimewekwa rehani. Hayo Masharti nafuu ndio yale ya kuambiwa Ruhusuni Mapenzi ya Jinsia moja, Inasikitisha sana kudhalilisha utu wetu kisa Mikopo na Demokrasia hewa.
 
Hakuna asiekopa,ila kwa sasa habari za selikari zinazungumziwa zaid kuliko kipindi cha awamu iliopita,hii ni kwa sababu uhuru wa kuzungumza umekuwa huru sana,tofauti na hapo awali
Sio kweli unachoongea tunataka kujua huo mkopo ni wa nini? Au ni wa kununua madawati maalum ya akina mama wanaonyonyesha?
 
Wakati washindani wa Tanzania kwenye biashara ya Logistics wakikopa kwa njia ya ku engage China Ili wajenge reli na miundombinu mingine ,huku Tanzania kuna Watu wenye akili mdogo hawataki.

Hata Kodi kulipa hawataki sasa unajiuliza Labda watapata maendeleo kwa kushushiwa na mvua.Ni hatari Sana kuwa na Nchi yenye Watu wenye akili kiduchu na mdomo mkubwa kama Tzn.

Matunda ya Ziara ya Foreign Minister wa China Kwenye baadhi ya Nchi za Africa.China imepanga kujenga reli ya sgr kutoka mpakani mwa Kenya/Uganda hadi Rwanda na DRC.

Kutoka Djibouti hadi Ethiopia ndani kabisaa.Watatumia model ya Belt and Road Initiative.

Ngoja Tzn tuendelee kujivuta na kubishana ujinga.

View attachment 2077682

View attachment 2077683

View attachment 2077684
Umezungumzia mchina kujenga reli ndefu sana ni jambo jema sana, lakini ni lazima tukope? Kwanini tusifikirie hata kuingia ubia? Kwa maana ya Public Private Partnership?tujiongeze kidogo

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Alafu tunaambiwa ni mikopo 'nafuu' huu ni upumbavu, tumekuwa taifa lenye kujisifia kwa kukopa hovyo, Mpaka huyu mama amalize Muhula wake hii nchi kuna vitu vingi tu vitakuwa vimewekwa rehani. Hayo Masharti nafuu ndio yale ya kuambiwa Ruhusuni Mapenzi ya Jinsia moja, Inasikitisha sana kudhalilisha utu wetu kisa Mikopo na Demokrasia hewa.
Hahahhahaha ndio kitafata mtaambiwa mlane viboga kimasihara
 
Umezungumzia mchina kujenga reli ndefu sana ni jambo jema sana, lakini ni lazima tukope? Kwanini tusifikirie hata kuingia ubia? Kwa maana ya Public Private Partnership?tujiongeze kidogo

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hilo wazo ndio haliwezekani kabisaa kwa nature ya Watanzania,kwa sababu terms zake unaweza ambiwa Nchi imeuzwa.

Samia aligisia hiyo style na ile ya finance,build,operate and transfer .Kwa uzoefu Tzn ilivyo na watu wajinga hizi mbinu zote ni ngumu.

Hiyo ya ubia inategemea kama Serikali Wana pesa afu wawekezaji hawawezi kukubali maana hakuna biashara ya reli kuleta faida,hata sasa hakuna reli inayoleta faida Kati ya zilizopo.Na kwa taarifa yako WB walikataa kutoa pesa za kujenga Tazara kwa sababu upembuzi yakinifu ulionesha haina faida.

Na hadi kesho hakuna faida onapatikana,ndio Mchina alijitosa Ili kuingia Africa kuchota mali na hicho ndio chanzo cha urafiki wa kiwizi wa Mchina na Tzn.

Hata sgt inayojengwa hakuna mahala walipofanya upembuzi yakinifu kuonyesha Kwamba eti italeta faida hakuna ,wanajenga kwa Imani tuu ambayo kiuchumu we call it " the sunk cost fallacy" yaani unajiaminisha ukweli kwenye ishu ambayo haina huo ukweli.

So kwa kuzingatia maelezo hayo ni sahihi kwa mikopo.

Hapo Nchi jirani,wachina wamekubali kwa sababu reli zinajengwa kwenye corridors kuu za biashara ya usafirishaji ambapo kwa Tzn labda ingeelekea njia ya Kusini iliko Sadc na sio Mwanza,sijui Kigoma au huko Rwanda/Burundi.
 
Elimu kwa taifa siyo kuzalisha?.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa ajira gani ulizo nazo aisee

Be wise my friend….mkopo ni double edge sword…ukimbwela inakula kwako mazima..JPM kunasiku alisema kamalizia mkopo ambao ulikopwa awamu ya Nyerere kipindi chake na it was one thing sijui barabara au uwanja gani sijui..mikopo ni mizigo kwa wananchi jamani…sasa mnakopa kwa starehe zenu kisa muwe comfortable mje kutesa vizazi vyenu kisa hamkuwa wise enough is that what you want..no pain no gain..hapa kazi tu..

ungekuwa wewe ungefanyaje mkuu ungekopa kulipa school fees za watoto, huku kipato chako cha kila siku unakinywa au ufungue biashara uwe na uhakika wa kusomesha na kumuajiri mtoto baadae..
 
Muslim's culture is different from Christian's culture.
Ujinga wa kuendekeza mavitu na kuwaacha raia hoi bin taaban siyo sera yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wenzenu uarabuni wanamiliki visima vya mafuta…hata wakilala usiku noti zinaingia..wanaajira watu wanajenga nchi yao..wanakuwa na mavitu vyao

Haya nyie wenzetu mnaojiita muslim wa Tanzania msioendekeza mavitu mnaotaka muishi kifalme wakati mmeuza rasilimali zenu…mtakula mawe!
 
Hakuna aliekopa 15trln ndani ya mwaka mmoja,
Tafuteni taarifa kwanza kabla yakupost humu,ndio maana kwakua sasa ni wakati wa likizo huwa nahisi watoto mko nyumbani.
Hao ni wazanzibar ndiyo wanao shangilia mikopo wakidhani wanakomoa bara ,kwa sababu asilimia kubwa mama anapeleka pesa huko ilq deni linapaswa kulipwa na serikali ya muungano
 
Back
Top Bottom