Waziri Mwigulu si ulisema ni Vocha tu? Imekuwaje?

Waziri Mwigulu si ulisema ni Vocha tu? Imekuwaje?

KateMiddleton

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2021
Posts
3,883
Reaction score
4,676
Mh Waziri,

Nilisikiliza Hotuba ya Bajeti
Na kuelewa kuwa makato yanaendana na kiasi cha vocha unayoweka na nikaona sio mbaya ...solidarity fund..

Hotuba ile sikusikia ni tozo kwenye huduma za kutoa na kuweka katika mitandao ya simu.,au wengine mliisikia hii?
Sikiliza huu utetezi wa Mh Waziri hapa chini
Unaleta picha kuwa kiasi ni kidogo sana kwa mwezi na ni kwenye vocha na sio miamala kama hii mikeka iliyotoka





Aliesikia ni makato ya miamala kila siku aje na ushahidi tafadhali mana

Mikeka iliyotoka sio siri mhhh.

Naona umma haukuandaliwa kisaikolojia.
Na viwango viko juu sana(tena per transaction,sio hata mwezi)) tofauti na hotuba yako hapo juu.,

Nashauri irejewe.

Imagine kwa siku unataka kutumia watu 5 elfu 50 kila mtu, gharama za tuma na ya kutolea.

Mfano tu...

Uzi tayari
 
Tuna Bunge DHAIFU ambalo halijui wajibu wake. Wao wanadhani Bunge ni kitengo kingine cha maccm badala ya kuwa kuwa wawakilishi wa Watanzania katika kero zetu mbali mbali na kuisimamia Serikali kuhusu pia wizi, ufisadi na ubadhirifu.
 
Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa JF👇

Uzi wa bajeti ulikuwa na replies 90

Uzi wa Sabaya ulikuwa na replies elfu 1 na zaidi

Uzi wa kusaini petition ya kumtoa Mondi kwenye tuzo za bet ulikuwa na replies 800 na zaidi.

Kuleni upumbavu wenu. Najua na hili mtapiga kelele siku 2 hizi alafu mtarudi kwenye ujinga wenu
 
Tuna Bunge DHAIFU ambalo halijui wajibu wake. Wao wanadhani Bunge ni kitengo kingine cha maccm badala ya kuwa kuwa wawakilishi wa Watanzania katika kero zetu mbali mbali na kuisimamia Serikali kuhusu pia wizi, ufisadi na ubadhirifu.
Sawa wabunge hawakatwi kodi
Ila hili hata wao hawakwepi.,

Mikeka ile mhhh ina walakini
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa jf [emoji116]

Uzi wa bajeti ulikuwa na replays 90...
Kuna Siku niliwahi kuanzisha Uzi hapa JamiiForums nikisema hakuna Watu 'Wanafiki' na huenda wakawa na 'Doctorate' ya 'Unafiki' huo kama Watanzania wachache sana walinielewa, ila wengi walinibishia mpaka Kunidhihaki sasa nadhani taratibu tu tutaelewana Kudadadeki.
 
Tuvumilie tax base ni ndogo,Suluhu ni kuwafikia wengi kwa indirect taxes.
Mhhh kwa volume ya transactions za mitandao ya simu
Hii ni avenue nzuri ya kupata pesa
Viwango virejewe vishushwe vivumilike na wananchi
Na kuweza kuwa sustainable kwa muda mrefu
Mfano
Serikali ikipata japo Sh.200 au 500 tu mbona bado watapata sana tu?.

but total rates go up to 10,000!! per transaction
 
Back
Top Bottom