Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlikuwa wapi Kushauri hili ( haya ) Kitambo tu? Watanzania tuna Unafiki mwingi mno halafu ni wepesi wa Kukurupuka Kulalamika ila ni wazuri wa Kusahau upesi na kurukia katika Jambo lingine hata kama lililopo ni la Muhimu na bado halijapatiwa Ufumbuzi.Nashauri kila hela anayolipwa Mbunge ikatwe 3% Withholiding Tax , kama "LOCAL FUNDIS" wanavyokatwa baada ya kufanya kazi kwenye miradi ya Serikaki.
Serikali itakusanya pesa nyingi kwa ajili ya miradi ya kimkakati.
Wewe na wapuuzi wenzio waimba mapambio ya uccm hakuna hata Uzi mmoja mliochangia. Acheni upambe maana hakuna la maana mnalokosoa kama walivyo Wabunge wenu.Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa jf [emoji116]
Uzi wa bajeti ulikuwa na replays 90
Uzi wa Sabaya ulikuwa na replays elfu 1 na zaidi
Uzi wa kusaini petition ya kumtoa Mondi kwenye tuzo za bet ulikuwa na replays 800 na zaidi.
Kuleni upumbavu wenu. Najua na hili mtapiga kelele siku 2 hizi alafu mtarudi kwenye ujinga wenu
Mwandiko wa Kiuvccm tunaujua lakini ndani ugoro mtupu.Ko nyie mnazan SGR znajengwa na maji au....kodi ndo huleta maendeleo [emoji23][emoji23][emoji23]
Mama Yako na wadogo zako Kijiji ni wanahusikaje na mambo ya dimondi na jambazi sabaya ilu kuhalalisha unyonyaji huuWakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa jf [emoji116]
Uzi wa bajeti ulikuwa na replays 90
Uzi wa Sabaya ulikuwa na replays elfu 1 na zaidi
Uzi wa kusaini petition ya kumtoa Mondi kwenye tuzo za bet ulikuwa na replays 800 na zaidi.
Kuleni upumbavu wenu. Najua na hili mtapiga kelele siku 2 hizi alafu mtarudi kwenye ujinga wenu
Kwani na wewe si mjinga tu! tulishakwambia ccm hawana mbinu za kutawala, zaidi yaWakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa jf [emoji116]
Uzi wa bajeti ulikuwa na replays 90
Uzi wa Sabaya ulikuwa na replays elfu 1 na zaidi
Uzi wa kusaini petition ya kumtoa Mondi kwenye tuzo za bet ulikuwa na replays 800 na zaidi.
Kuleni upumbavu wenu. Najua na hili mtapiga kelele siku 2 hizi alafu mtarudi kwenye ujinga wenu
Hatujawahi kuwa na bunge Bali genge LA wana CCM wasio na maono zaidi ya matumbo yaoTuna Bunge DHAIFU ambalo halijui wajibu wake. Wao wanadhani Bunge ni kitengo kingine cha maccm badala ya kuwa kuwa wawakilishi wa Watanzania katika kero zetu mbali mbali na kuisimamia Serikali kuhusu pia wizi, ufisadi na ubadhirifu.
Wewe ni mpumbavu sana kama hicho kikundi chenu huko Dodoma, hivi JF ndio bunge kumbe? Hivi ile kauli ya Ndugai kwa hao wicked wa CCM umeisahau?Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa jf [emoji116]
Uzi wa bajeti ulikuwa na replays 90
Uzi wa Sabaya ulikuwa na replays elfu 1 na zaidi
Uzi wa kusaini petition ya kumtoa Mondi kwenye tuzo za bet ulikuwa na replays 800 na zaidi.
Kuleni upumbavu wenu. Najua na hili mtapiga kelele siku 2 hizi alafu mtarudi kwenye ujinga wenu
Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa jf [emoji116]
Uzi wa bajeti ulikuwa na replays 90
Uzi wa Sabaya ulikuwa na replays elfu 1 na zaidi
Uzi wa kusaini petition ya kumtoa Mondi kwenye tuzo za bet ulikuwa na replays 800 na zaidi.
Kuleni upumbavu wenu. Najua na hili mtapiga kelele siku 2 hizi alafu mtarudi kwenye ujinga wenu
Sasa acheni kutupigia kelele sasa hivi wakati wanawasilisha hiyo bajeti mlikuwa busy na upuuziTuchukulie huo uzi wa bajeti ungekuwa na replies 2,0000 nini kingebadalika?
Sasa mnatokwa mapovu ya nini?Wewe ni mpumbavu sana kama hicho kikundi chenu huko Dodoma, hivi JF ndio bunge kumbe? Hivi ile kauli ya Ndugai kwa hao wicked wa CCM umeisahau?
Sasa wakati wanasilisha bajeti ya kukukandamiza si ukikuwa busy na ujinga wako?Kwani na wewe si mjinga tu! tulishakwambia ccm hawana mbinu za kutawala, zaidi ya
kukandamiza wananchi!!
Sasa nenda kalipe hiyo kodi kwa moyo mweupe maana wakati wanawasilisha bajeti wewe ulikuwa busy kufurahia kinvsa Sabaya kukamatwa.Mama Yako na wadogo zako Kijiji ni wanahusikaje na mambo ya dimondi na jambazi sabaya ilu kuhalalisha unyonyaji huu
Sasa tulieni sindano ziwapenye vizuri.Wewe na wapuuzi wenzio waimba mapambio ya uccm hakuna hata Uzi mmoja mliochangia. Acheni upambe maana hakuna la maana mnalokosoa kama walivyo Wabunge wenu.
Mama anaupiga mwingi sana. Unapowarembulia walipa kodi ndio inasababisha wasilipe kodi matokeo yake unaanza lazimisha vyanzo vingine vya kujazia ambapo walipa kodi wakubwa wamekwepa....Waziri, Nilisikiliza Hotuba ya Bajeti
Na kuelewa kuwa makato yanaendana na kiasi cha vocha unayoweka na nikaona sio mbaya solidarity fund..
Hotuba ile sikusikia ni tozo kwenye huduma za kutoa na kuweka katika mitandao ya simu.,au wengine mliisikia hii?
Mikeka iliyotoka sio siri mhhh.
Naona umma haukuandaliwa kisaikolojia.
Nashauri irejewe.
Imagine kwa siku unataka kutumia watu 5 elfu 50 kila mtu, gharama za tuma na ya kutolea.
Mfano tu...
Tulionya humu tukaitwa mataga, mara sukuma gang!Mama anaupiga mwingi sana. Unapowarembulia walipa kodi ndio inasababisha wasilipe kodi matokeo yake unaanza lazimisha vyanzo vingine vya kujazia ambapo walipa kodi wakubwa wamekwepa....
Aendelee kuupiga mwingi