Waziri Mwigulu si ulisema ni Vocha tu? Imekuwaje?

Waziri Mwigulu si ulisema ni Vocha tu? Imekuwaje?

Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa jf [emoji116]

Uzi wa bajeti ulikuwa na replays 90

Uzi wa Sabaya ulikuwa na replays elfu 1 na zaidi

Uzi wa kusaini petition ya kumtoa Mondi kwenye tuzo za bet ulikuwa na replays 800 na zaidi.

Kuleni upumbavu wenu. Najua na hili mtapiga kelele siku 2 hizi alafu mtarudi kwenye ujinga wenu
[emoji2962][emoji2962][emoji2962][emoji2962]
 
Mambo ya uzalendo kuwakamua walalahoi wanaoishi chini ya dola 1 ,wao wanaolipiwa kila kitu na mishahara mikubwa hadi 20m kwa mwezi hawakatwi tozo ya uzalendo kwenye malupulupu yao.
 
Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa jf [emoji116]

Uzi wa bajeti ulikuwa na replays 90

Uzi wa Sabaya ulikuwa na replays elfu 1 na zaidi

Uzi wa kusaini petition ya kumtoa Mondi kwenye tuzo za bet ulikuwa na replays 800 na zaidi.

Kuleni upumbavu wenu. Najua na hili mtapiga kelele siku 2 hizi alafu mtarudi kwenye ujinga wenu
[emoji23][emoji23][emoji23] nacheka huku nauma meno [emoji51][emoji51][emoji51]
 
Huu ni mpango wa mama..

Huu mpango umepata mibaraka yake.

Sio waziri wa fedha au bunge linahusika na hili ila ni yeye ndio muhusika mkuu kwenye huu unyang'anyi

Tutamkumbuka kwa hii dhuluma anayoifanya sasa
 
Tuna Bunge DHAIFU ambalo halijui wajibu wake. Wao wanadhani Bunge ni kitengo kingine cha maccm badala ya kuwa kuwa wawakilishi wa Watanzania katika kero zetu mbali mbali na kuisimamia Serikali kuhusu pia wizi, ufisadi na ubadhirifu.
Hivi kiuhalisia nini motive kubwa ya mtu kugombea ubunge, ni kujikimu binafsi au kujenga taifa! Kwa nini daktari bingwa au profesa aache kutumikia kwa nafasi yake na kuutaka ubunge.
Dunia imefanya kosa kubwa sana kulipa wabunge pesa nyingi kuliko wataalamu.
Kwa wabunge wangelipwa mshara sawa wa mwalimu wa shahada na posho ya kawada huko kujivika uzalendo kwa kungeyeyuka kama umande kwenye jua.
 
Huu ni mpango wa mama..

Huu mpango umepata mibaraka yake.

Sio waziri wa fedha au bunge linahusika na hili ila ni yeye ndio muhusika mkuu kwenye huu unyang'anyi

Tutamkumbuka kwa hii dhuluma anayoifanya sasa
Basi tunaomba kwa hekima zake Mama yetu
Mh Rais alitizame hili kwa jicho la pili
 
Damn! You are back again, jooo...as your name!BAK lots of your comments you always seem to align with samia's regime. Yet you are complaining about the taxation policy set by mwigulu and his gang. Where do you stand?? Only JPM was the rael deal, now you've got no choice than paying the cost of denouncing jpm.
BAK is very problematic guy and likes to complain alot! Mama anaupiga mwingi this was supposed to be the slogan!
 
Kuhusu suala, wafikirie upya saula hili maana litarudisha nyuma maendeleo ya wananchi.
 
Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa JF👇

Uzi wa bajeti ulikuwa na replies 90

Uzi wa Sabaya ulikuwa na replies elfu 1 na zaidi

Uzi wa kusaini petition ya kumtoa Mondi kwenye tuzo za bet ulikuwa na replies 800 na zaidi.

Kuleni upumbavu wenu. Najua na hili mtapiga kelele siku 2 hizi alafu mtarudi kwenye ujinga wenu
mataga pori mliambiwa bia inashuka bei mkakata viuno kama feni bovu leo mmeletewa kodi ya miamala mnaanza kelele.
 
Tulia we li bavicha! Lipa kodi hiyo tunataka hela ya miradi sisi
mataga pori pungozo la bei ya bia liliwafanya mkakenua kama ngiri maji leo mnalia na kusaga meno kwenye miamala kama raiya wengine tu 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom