Medecin
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 8,221
- 22,496
Kabisa bora bank au kama ni karibu bora upande gari upeleke physicallyMimi situmi Tena Hela Wala kutoa Hela hovyo hovyo loh. Bora kubaki na kutoa tu bank
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa bora bank au kama ni karibu bora upande gari upeleke physicallyMimi situmi Tena Hela Wala kutoa Hela hovyo hovyo loh. Bora kubaki na kutoa tu bank
[emoji2962][emoji2962][emoji2962][emoji2962]Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa jf [emoji116]
Uzi wa bajeti ulikuwa na replays 90
Uzi wa Sabaya ulikuwa na replays elfu 1 na zaidi
Uzi wa kusaini petition ya kumtoa Mondi kwenye tuzo za bet ulikuwa na replays 800 na zaidi.
Kuleni upumbavu wenu. Najua na hili mtapiga kelele siku 2 hizi alafu mtarudi kwenye ujinga wenu
Ngoja wapunuliwe hadi waote vipara ndio akili zitawarudi mkuuMkuu upo sahihi.
Jeuri na upuuzi vinashabikiwa kuliko mambo muhimu
Kina umuhimu sana hichoHiki kipande, naona kinarudiwa rudiwa tu. Huu ni uzi wa 7 sasa kinaletwa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eti feki!I love this, na sasa tuko na gali ya Mondi
Sasa acheni kutupigia kelele sasa hivi wakati wanawasilisha hiyo bajeti mlikuwa busy na upuuzi
Mimi narudi bank tu hamna namna na ka mtu uko dar hii Rena nauli za daladala Bei cheap Bora umupelekee mtu Hela direct tu basi.Kabisa bora bank au kama ni karibu bora upande gari upeleke physically
[emoji23][emoji23][emoji23] nacheka huku nauma meno [emoji51][emoji51][emoji51]Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa jf [emoji116]
Uzi wa bajeti ulikuwa na replays 90
Uzi wa Sabaya ulikuwa na replays elfu 1 na zaidi
Uzi wa kusaini petition ya kumtoa Mondi kwenye tuzo za bet ulikuwa na replays 800 na zaidi.
Kuleni upumbavu wenu. Najua na hili mtapiga kelele siku 2 hizi alafu mtarudi kwenye ujinga wenu
Hivi kiuhalisia nini motive kubwa ya mtu kugombea ubunge, ni kujikimu binafsi au kujenga taifa! Kwa nini daktari bingwa au profesa aache kutumikia kwa nafasi yake na kuutaka ubunge.Tuna Bunge DHAIFU ambalo halijui wajibu wake. Wao wanadhani Bunge ni kitengo kingine cha maccm badala ya kuwa kuwa wawakilishi wa Watanzania katika kero zetu mbali mbali na kuisimamia Serikali kuhusu pia wizi, ufisadi na ubadhirifu.
Kuna haja ya kutafuta njia mbadala ya kutuma pesa.Huku wa mihamala washabana
Basi tunaomba kwa hekima zake Mama yetuHuu ni mpango wa mama..
Huu mpango umepata mibaraka yake.
Sio waziri wa fedha au bunge linahusika na hili ila ni yeye ndio muhusika mkuu kwenye huu unyang'anyi
Tutamkumbuka kwa hii dhuluma anayoifanya sasa
Wanashangaza sana hawa watu😅😅😅kazi iendelee mama anaupiga mwingi mno!!!Mnalialia Nini? Si tulikubaliana mama anaupiga mwingi?
Hakuna jema kwenu?
BAK is very problematic guy and likes to complain alot! Mama anaupiga mwingi this was supposed to be the slogan!Damn! You are back again, jooo...as your name!BAK lots of your comments you always seem to align with samia's regime. Yet you are complaining about the taxation policy set by mwigulu and his gang. Where do you stand?? Only JPM was the rael deal, now you've got no choice than paying the cost of denouncing jpm.
mataga pori mliambiwa bia inashuka bei mkakata viuno kama feni bovu leo mmeletewa kodi ya miamala mnaanza kelele.Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa JF👇
Uzi wa bajeti ulikuwa na replies 90
Uzi wa Sabaya ulikuwa na replies elfu 1 na zaidi
Uzi wa kusaini petition ya kumtoa Mondi kwenye tuzo za bet ulikuwa na replies 800 na zaidi.
Kuleni upumbavu wenu. Najua na hili mtapiga kelele siku 2 hizi alafu mtarudi kwenye ujinga wenu
Tulia we li bavicha! Lipa kodi hiyo tunataka hela ya miradi sisimataga pori mliambiwa bia inashuka bei mkakata viuno kama feni bovu leo mmeletewa kodi ya miamala mnaanza kelele.
mataga pori pungozo la bei ya bia liliwafanya mkakenua kama ngiri maji leo mnalia na kusaga meno kwenye miamala kama raiya wengine tu 🤣 🤣 🤣Tulia we li bavicha! Lipa kodi hiyo tunataka hela ya miradi sisi