Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Ni yeye kweli?.
Ni yeye kweli?.
Ni yeye, kwani huoni hilo jina lake highlighted ??!---- swali ni je atakuja kujibu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni yeye kweli?.
Ni yeye kweli?.
Hata asipojibuNi yeye, kwani huoni hilo jina lake highlighted ??!---- swali ni je atakuja kujibu??
Jana mida ya SAA 5:30 usiku nikaona kimeseji chao kinanitaharifu makato yanaanza Leo.nailichofanya ni kununua umeme wa kutosha miezi 3 na nikalipia bill ya maji nikalipa na madeni kwa watu waliombali ambao Leo nilitakiwa niwatie.Mikeka mipya sio masihara [emoji28] wazee ni wakati wa kukabidhiana hela kwa mikono
Piga kelele lakini watanzania Ni wajinga kuanzia viongozi hadi raia wake. Na maviongozi ndiyo majinga namba moja yanachojua ni ulaghai tu na kuchota pesa kutoka wa wananchi Ila siyo kutumia rasilimali zetu kukuza uchumi kila mwaka Ni kimuumiza mlaji wa mwisho tu.Watanzania tunachojua tu ni Kujadili Mambo ya akina Diamond, Mzee Mpili na Ushirikina mkubwa unaoendelea sasa Mkoani Kigoma kuelekea Fainali ya TFF ASFC kati ya Simba na Yanga ila Vitu vyenye Tija Kwetu kama Taifa na Nchi wala hatuna navyo muda.
Acha tu Serikali itukomeshe ili tukome!!!
Hapana ni mwendazake ndio aliiiandaa hii miamala.Mwigulu Nchemba, CCM na katiba ya Mwaka 1977 ndio maadui wakuu wa Taifa hili
Achana naye huyo Ni jinga Kama majinga Yale yaliopo bungeniKwani na wewe si mjinga tu! tulishakwambia ccm hawana mbinu za kutawala, zaidi ya
kukandamiza wananchi!!
Nawewe popoma ukiwa mmoja wao.Kuna Siku niliwahi kuanzisha Uzi hapa JamiiForums nikisema hakuna Watu 'Wanafiki' na huenda wakawa na 'Doctorate' ya 'Unafiki' huo kama Watanzania wachache sana walinielewa, ila wengi walinibishia mpaka Kunidhihaki sasa nadhani taratibu tu tutaelewana Kudadadeki.
I love this, na sasa tuko na gali ya MondiWakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa jf [emoji116]
Uzi wa bajeti ulikuwa na replays 90
Uzi wa Sabaya ulikuwa na replays elfu 1 na zaidi
Uzi wa kusaini petition ya kumtoa Mondi kwenye tuzo za bet ulikuwa na replays 800 na zaidi.
Kuleni upumbavu wenu. Najua na hili mtapiga kelele siku 2 hizi alafu mtarudi kwenye ujinga wenu
Mimi situmi Tena Hela Wala kutoa Hela hovyo hovyo loh. Bora kubaki na kutoa tu bankNawaonea huruma vijana wezangu waliojiajiri kwenye tigopesa, mpesa n.k. kuanzia kesho wanaenda kukosa wateja kitu kitakachowafanya wafunge biashara zao au mitaji yao ife
Mnyiramba Na waizara ya fedha wapi na wapiMh Waziri,
Nilisikiliza Hotuba ya Bajeti
Na kuelewa kuwa makato yanaendana na kiasi cha vocha unayoweka na nikaona sio mbaya ...solidarity fund..
Hotuba ile sikusikia ni tozo kwenye huduma za kutoa na kuweka katika mitandao ya simu.,au wengine mliisikia hii?
Sikiliza huu utetezi wa Mh Waziri hapa chini
Unaleta picha kuwa kiasi ni kidogo sana kwa mwezi na ni kwenye vocha na sio miamala kama hii mikeka iliyotoka
Aliesikia ni makato ya miamala kila siku aje na ushahidi tafadhali mana
Mikeka iliyotoka sio siri mhhh.
Naona umma haukuandaliwa kisaikolojia.
Na viwango viko juu sana(tena per transaction,sio hata mwezi)) tofauti na hotuba yako hapo juu.,
Nashauri irejewe.
Imagine kwa siku unataka kutumia watu 5 elfu 50 kila mtu, gharama za tuma na ya kutolea.
Mfano tu...
Uzi tayari
Mkuu upo sahihi.Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa jf [emoji116]
Uzi wa bajeti ulikuwa na replays 90
Uzi wa Sabaya ulikuwa na replays elfu 1 na zaidi
Uzi wa kusaini petition ya kumtoa Mondi kwenye tuzo za bet ulikuwa na replays 800 na zaidi.
Kuleni upumbavu wenu. Najua na hili mtapiga kelele siku 2 hizi alafu mtarudi kwenye ujinga wenu
We naye na Sabaya wako huchokagi tu. Kamsalimie jambazi mwenzio kisongo.Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa jf [emoji116]
Uzi wa bajeti ulikuwa na replays 90
Uzi wa Sabaya ulikuwa na replays elfu 1 na zaidi
Uzi wa kusaini petition ya kumtoa Mondi kwenye tuzo za bet ulikuwa na replays 800 na zaidi.
Kuleni upumbavu wenu. Najua na hili mtapiga kelele siku 2 hizi alafu mtarudi kwenye ujinga wenu
[emoji106][emoji106][emoji106]Mzee baba hakuna kitu kizuri kama kulipa kodi. Wakati wafanyabiashara wanazinguliwa watu walisema wanakwepa kodi. Biashara zimedoda tunatakiwa wote tuchangie kodi tunaanza kulialia
Tulipe kodi ili wabunge walipwe mishahara na zinazobaki walipe maendeleo
Miezi mi3 haitaisha sio?.Jana mida ya SAA 5:30 usiku nikaona kimeseji chao kinanitaharifu makato yanaanza Leo.nailichofanya ni kununua umeme wa kutosha miezi 3 na nikalipia bill ya maji nikalipa na madeni kwa watu waliombali ambao Leo nilitakiwa niwatie.
Kwa hiyo replies zingekua nyingi zingesaidia bungeni kubadilisha huo mswada?Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa jf [emoji116]
Uzi wa bajeti ulikuwa na replays 90
Uzi wa Sabaya ulikuwa na replays elfu 1 na zaidi
Uzi wa kusaini petition ya kumtoa Mondi kwenye tuzo za bet ulikuwa na replays 800 na zaidi.
Kuleni upumbavu wenu. Najua na hili mtapiga kelele siku 2 hizi alafu mtarudi kwenye ujinga wenu