Waziri Mwigulu si ulisema ni Vocha tu? Imekuwaje?

Waziri Mwigulu si ulisema ni Vocha tu? Imekuwaje?

Tuna Bunge DHAIFU ambalo halijui wajibu wake. Wao wanadhani Bunge ni kitengo kingine cha maccm badala ya kuwa kuwa wawakilishi wa Watanzania katika kero zetu mbali mbali na kuisimamia Serikali kuhusu pia wizi, ufisadi na ubadhirifu.
Damn! You are back again, jooo...as your name!BAK lots of your comments you always seem to align with samia's regime. Yet you are complaining about the taxation policy set by mwigulu and his gang. Where do you stand?? Only JPM was the rael deal, now you've got no choice than paying the cost of denouncing jpm.
 
Ccm inawafanya watz wazidi kuwa masikini Ili wawe wajinga wazidi kuiweka ccm madarakani.

Hawa kula kulala KILA kitu wanapewa bure bila kukatwa kodi ni ngumu kuyajua maisha halisi ya Watanzania.

Bajeti zafaa wapewe wananchi au wanachuo ndio waziandae kwa maana ndio wanayajua zaidi maisha ya watz.

Serikali inayotegemea zaidi kuongeza kodi badala ya kujikita kwenye kuchochea uzalishaji ni serikali mfu chakavu.
 
Tukihoji juu ya PhD zao humu jamvini tunakashfiwa na kutukanwa mara kwa mara.

Acheni tukinywee kikombe.
 
Tuna Bunge DHAIFU ambalo halijui wajibu wake. Wao wanadhani Bunge ni kitengo kingine cha maccm badala ya kuwa kuwa wawakilishi wa Watanzania katika kero zetu mbali mbali na kuisimamia Serikali kuhusu pia wizi, ufisadi na ubadhirifu.
Wale ni wawakilishi wa Magufuli na sio wawakilishi wa wananchi,wote wale walipita bila kupingwa.
 
Tukihoji juu ya PhD zao humu jamvini tunakashfiwa na kutukanwa mara kwa mara.

Acheni tukinywee kikombe.
Huyu ni mzigo sijui kwann anabakia uwezo wake wa fikra ni SAwa na kingwangala Ina maana nchi nzima hatuna wasomi wa kushika nafasi ile.mama hapa kachemka hizi toxin za jiwe zilifaa zikae bench hazina creative thinking.
 
Waongeze ifike hata 1,000,000 kwa muamala maana watanzania ujinga ni mwingi sana
 
Nina ka 1M kangu,namwita boda boda nakafunga kama ka parcel tu kwenye bahasha,then nampa ampelekee Mshikaji wangu pale Mwenge from Tegeta kwa Tshs 10,000 na siko kutuma kwenye simu kwa gharama ya Tsh 31,000
Akipata ajali imekula kwako
 
Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa jf [emoji116]

Uzi wa bajeti ulikuwa na replays 90...
Na ndio hapo kuna muda upinzani unaona hamnazo.

Kwenye ishu ksma hizi huoni uhamasishaji ni wale wachache tu kama kina Lissu ndio huwa wanashikia bango. Wanaharakati uchwara watapost memes za kuchekesha kuhudu hiyo bajeti watu wacheke na kukebehi basi inaishia hapo.

Ila kwenye kusaini petition mtu kina Lema wanaandika mavitu kibao + eti kujiandaa kwenda kufuta video za mondi youtube.

Tunayumbishwa mno na bahati mbaya zaidi na kweli tunayumba. Hata hao walio karibu na system kuliko sisi nao wanayumba na upepo. Aisee so sad
 
Tuvumilie tax base ni ndogo,Suluhu ni kuwafikia wengi kwa indirect taxes.
VAT ilikwishawekwa, bado unaweka kodi nyingine kwenye huduma ile ile. Huu ni wizi wa Serikali dhidi ya wananchi.

Inawezekana Mwigulu ana nia ya kuyahujumu makampuni ya simu ili kuyasaidia mabenki.
 
Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa jf [emoji116]

Uzi wa bajeti ulikuwa na replays 90

Uzi wa Sabaya ulikuwa na replays elfu 1 na zaidi

Uzi wa kusaini petition ya kumtoa Mondi kwenye tuzo za bet ulikuwa na replays 800 na zaidi.

Kuleni upumbavu wenu. Najua na hili mtapiga kelele siku 2 hizi alafu mtarudi kwenye ujinga wenu

Hiki kipande, naona kinarudiwa rudiwa tu. Huu ni uzi wa 7 sasa kinaletwa!
 
Hapa ni kuwatumia sasa bodaboda waaminifu una mdispatch kazi inaisha kwa buku au buku 2
 
Sasa nenda kalipe hiyo kodi kwa moyo mweupe maana wakati wanawasilisha bajeti wewe ulikuwa busy kufurahia kinvsa Sabaya kukamatwa.

Masitupigie kelele kabisa. Lipeni kodi
Kwani wewe hutalipa?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Pale serikali inapoamua kuwaibia /kuwakomoa watu wake ni lzm iwekeze kwenye kuongeza kodi tu bila kufanya tafiti ya athari za uchumi
 
Hatari tupu bora ukodi bodaboda kuliko kutuma pesa

IMG-20210715-WA0000.jpg
 
Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa jf [emoji116]

Uzi wa bajeti ulikuwa na replays 90

Uzi wa Sabaya ulikuwa na replays elfu 1 na zaidi

Uzi wa kusaini petition ya kumtoa Mondi kwenye tuzo za bet ulikuwa na replays 800 na zaidi.

Kuleni upumbavu wenu. Najua na hili mtapiga kelele siku 2 hizi alafu mtarudi kwenye ujinga wenu
We si hutakatwa
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom