Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
CCM ni majiziKwahiyo CCM ni chongo na Akina Chadema ndio Vipofu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM ni majiziKwahiyo CCM ni chongo na Akina Chadema ndio Vipofu?
Kwahiyo hapa kwetu kila mfanyakazi anaona mavieite ya Polepole ndio magari double cabin sio gari 🙄🙄!!Magari ya Watumishi wa Serikali wanaostahili kukopeshwa Lazima yatakuwa na Bei ya chini kutokana na ukweli magari hayo yanauzwa na Serikali yenyewe
Pili, Magari hayo yatatumiwa na Watumishi kwenye Shughuli za kila siku za Serikali
Sidhani kama Magari hayo yana kodi
Hivyo usidhani V8 ya tsh 400mil na mkopo wake utasomeka hivyo, yawezekana kabisa ikawa chini ya tsh 50mil
Jumaa Mubarak 😀
Yana hadhiKwahiyo hapa kwetu kila mfanyakazi anaona mavieite ya Polepole ndio magari double cabin sio gari 🙄🙄!!
Nilimsikia Jamaa mmoja akisema hayo mavieite ni sawa na mini bus 🚌 sijui kwanini watu wanayapapatikia 😅😅🙏
Watumishi wa wilayani wengi wao magari kama harrier humiliki wakiwa wameshajizeekea baada ya kupata maburungutu ya kustaafu. Bahati mbaya sana kwa sasa wamepigwa za uso na kikokoto. Ni maumivu.Hakuna mtumishi wa wilayani mwenye uwezo wa kuhudumia harrier sembuse kruza?
Yaani kwenye mbio za mwenge niingize kruza langu kufukuzana kukagua njua ya mwenge.? Never
Ni mazuri kwa kuwatambia jamaa zetu 😅🙏 ! Lakini ukubwa wake ni sawa na mini 🚎 !Yana hadhi
Hapa watajiuzia kwa bei ya chini baadae mtu ana staafu au anafariki sijui anayekuja tena wanamkopesha na hizi teuzi na tengua za kila siku, mtu anateuliwa miezi 2 anatenguliwa mara ana hamishwa sijui atahama na hilo gari au ataliacha ofisi A na yeye yupo B.Magari ya Watumishi wa Serikali wanaostahili kukopeshwa Lazima yatakuwa na Bei ya chini kutokana na ukweli magari hayo yanauzwa na Serikali yenyewe
Pili, Magari hayo yatatumiwa na Watumishi kwenye Shughuli za kila siku za Serikali
Sidhani kama Magari hayo yana kodi
Hivyo usidhani V8 ya tsh 400mil na mkopo wake utasomeka hivyo, yawezekana kabisa ikawa chini ya tsh 50mil
Jumaa Mubarak 😀
Hapo ndio tatizoHapa watajiuzia kwa bei ya chini baadae mtu ana staafu au anafariki sijui anayekuja tena wanamkopesha na hizi teuzi na tengua za kila siku, mtu anateuliwa miezi 2 anatenguliwa mara ana hamishwa sijui atahama na hilo gari au ataliacha ofisi A na yeye yupo B.
HayaKama huna taarifa za kutosha juu ya habari fulani,kwa nini unapata kihele Hele cha kuielezea.
Umeandika kama mtoto wa chekechea
Bora kukimbiza mwenge kuliko kukimbiza motoHakuna mtumishi wa wilayani mwenye uwezo wa kuhudumia harrier sembuse kruza?
Yaani kwenye mbio za mwenge niingize kruza langu kufukuzana kukagua njua ya mwenge.? Never
Hilo ni chaka la kuibia wananchi wala hakuna nia njema hata kidogo, kwanini kusiwe na usafiri wa poor? mfano ofisi ya DED kukawa na magari 3 tu ya poor, mengine hazina wanatoa mikopo ya magari mtu akipewa fedha(mkopo wa gari) asidai usafiri ofisini anunue mwenyewe. Mkopo wa hazina wa magari kwa watumishi wa umma hauna riba.Hapo ndio tatizo
Wabunge wakiwa kamatini wanapanda Shabiby 😂Hilo ni chaka la kuibia wananchi wala hakuna nia njema hata kidogo, kwanini kusiwe na usafiri wa poor? mfano ofisi ya DED kukawa na magari 3 tu ya poor, mengine hazina wanatoa mikopo ya magari mtu akipewa fedha(mkopo wa gari) asidai usafiri ofisini anunue mwenyewe. Mkopo wa hazina wa magari kwa watumishi wa umma hauna riba.
Inawezekana kila Halmashauri kuwa na coster 1(staff) na mkonga 2 za poor + 2 ambulance inatosha kabisa.Wabunge wakiwa kamatini wanapanda Shabiby 😂
Mbona unawadhalilisha?Hakuna mtumishi wa wilayani mwenye uwezo wa kuhudumia harrier sembuse kruza?
Yaani kwenye mbio za mwenge niingize kruza langu kufukuzana kukagua njua ya mwenge.? Never
Hali ngumu sana brazaWabunge wakiwa kamatini wanapanda Shabiby 😂
Wakati wa Nyerere tulifanya hivyo, ndio sababu Watumishi wa Serikali waliishi kama familia moja 😄Inawezekana kila Halmashauri kuwa na coster 1(staff) na mkonga 2 za poor + 2 ambulance inatosha kabisa.
Ndiyo wanavyoishi Ulaya, Marekani hata Zambia hawana huu upumbavu kama wa kwetu, DED na DC wanaenda kikao kimoja Dodoma (TAMISEMI) kwanini wasitumie gari moja na wote ni watumishi wa umma? lakini kila mtu ataenda na gari lake utadhani ni maadui. Matumizi mabaya ya fedha za umma.Wakati wa Nyerere tulifanya hivyo, ndio sababu Watumishi wa Serikali waliishi kama familia moja 😄