KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Mmekaririi ehh🙄🙄🙄 mbona mkubwaa anaonekana ni 🔥🔥🔥🔥🔥 kuliko mdogo au macho yangu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmekaririi ehh🙄🙄🙄 mbona mkubwaa anaonekana ni 🔥🔥🔥🔥🔥 kuliko mdogo au macho yangu tu
Kwa mwanaumeMtihani kwa nani?
Marioo nani sasa!!!!Muongo huyooo bwana alikuwa marioo kajikosha tu kaona isiwe tabu akajikata kimya kimya
Ndio nimekaririi mkuuMmekaririi ehh
Mume wake wa Kwanza.Marioo nani sasa!!!!
Mwanaume gani? Jisemee weweKwa mwanaume
Dogo anafaidi sana,misambwanda kama yote!! Hawa wamefata pesa tu, zikiisha, hata mie msela nondo,lazima nipite naoWangegeuka kwa nyuma tuone [emoji39][emoji39]
Yuko Dar, Ana mradi wake Wa ufugaji Wa kuku Kwa Mathias-KibahaHuyo Zainab Abdallah ndio Mkuu wa Wilaya ya Bagomoyo.
Jiwe nae alikuwa na wake wangapi? Hivi Angela Jamsine Kairuki ambaye ni mtoto wa nje wa Salim Ahmed Salim yuko wapi siku hizi? Nimeuliza tuu
Siyo kilakitu lazima kiandikwe,experiencial learning matters,sometimes.Wanaume wakware mnajua mengi ambayo hata vitabuni hayamo
HeeeKuna siku mume wa Maza naye atatokea na wake Zake watatu huko
Huoni kifuani kua wamejaa?Hiyo inaonyesha nyuma kwa kawaida.
Ndio.Ujinga mtupu!
Hayo ndio wanayoyaweza sababu wamo wao pekeyao tena wengi wao waliingia kwa maagizo ya vimemo.
Basi wananyota ya kuolewa kwa mafungu.Umetufunga kamba unataka kusema mke wa manara ni mtoto wa Samia? Maana huyo ni Ndugu WA kuzaliwa na mke WA manara mkubwa
Mkuu wa Wilaya nae kafata pesa?Dogo anafaidi sana,misambwanda kama yote!! Hawa wamefata pesa tu, zikiisha, hata mie msela nondo,lazima nipite nao
Mke ni mmoja, mwingine/wengine ni suria/masuria - second grade wife, a dedicated concubineMbunge wa Pangani na waziri wa maji, Juma Aweso leo amefika bungeni na wake zake wawili, wametambulishwa na spika Tulia wakiwa wamekaa pamoja kwa bashasha tele. Meza za Bunge zimegongwa mpaka zinataka kupasuka zikichagizwa na vigelegele kutoka kwa wabunge wanawake, nikajiuliza waheshimiwa wabunge ndio wanapenda ndoa za wake zaidi ya mmoja kwa kiasi hiki🤣
Ukiweza kuwa Rais natarajia Taifa kuwa na 'First ladies'
View attachment 2221483
Wake wa Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, kushoto ni Bi. Zainabu Abdallah na Kauthari Tarimo wakiwa wamesimama baada ya kutambulishwa na Spika Tulia Ackson wakati wa mjadala wa hotuba ya Wizara ya Maji kwa mwaka wa fedha 2022/2023.
View attachment 2221446