dudupori
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 1,795
- 1,914
Tarimo ndio mkubwa
Huyu tarimo ndo kaingilia ndoa ya bi zainabu bila shaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu tarimo ndo kaingilia ndoa ya bi zainabu bila shaka
Nashangaa?Hawaoni hata aibu kuolewa wawili
Ni majinga kweli yanaona fahariNashangaa?
Hasa huyu wa pili,anajisikiaje
Mbunge wa Pangani na waziri wa maji, Juma Aweso leo amefika bungeni na wake zake wawili, wametambulishwa na spika Tulia wakiwa wamekaa pamoja kwa bashasha tele. Meza za Bunge zimegongwa mpaka zinataka kupasuka zikichagizwa na vigelegele kutoka kwa wabunge wanawake, nikajiuliza waheshimiwa wabunge ndio wanapenda ndoa za wake zaidi ya mmoja kwa kiasi hiki[emoji1787]
Ukiweza kuwa Rais natarajia Taifa kuwa na 'First ladies'
View attachment 2221483
Wake wa Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, kushoto ni Bi. Zainabu Abdallah na Kauthari Tarimo wakifuatilia mjadala wa hotuba ya Wizara ya Maji kwa mwaka wa fedha 2022/2023.
View attachment 2221446
Tatizo anajiachia ananenepa ovyo mpaka pua. Zamani alikua mzuri alivyokua anavunja ungoIla huyo Zainab hapana kwa kweli niwe muwazi mniwie radhi.
Kwani mbowe ana wangapi? Dr. Lilian, joyce mukya nk. Nae ana akili ndogo ndo maana kawekeza kwa hao wawili?Akili ndogo ndo wamewekeza huko..kweli Chadema inahitajika sana Bungeni
Kuna siku mume wa Maza naye atatokea na wake Za watatu huko
Acha urongo.....mtoto wa mama yuko Kwa MchengerwaHongereni wachaga na wapemba
Huyo mmoja anaitwa kauther Tarimo mtoto wa mzee Tarimo tajiri la kichaga huyo mwingine mtoto wa mama Raisi Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni mwanilishi wa baraza la wawakilishi kule zanzibar
Jamaa kaoa familia zote Bora
Wabunge wengine na nyie leteni wake zenu tuwaone
Mawaziri wanagawana watoto wa watu wakubwaAcha urongo.....mtoto wa mama yuko Kwa Mchengerwa
Umetufunga kamba unataka kusema mke wa manara ni mtoto wa Samia? Maana huyo ni Ndugu WA kuzaliwa na mke WA manara mkubwaHongereni wachaga na wapemba
Huyo mmoja anaitwa kauther Tarimo mtoto wa mzee Tarimo tajiri la kichaga huyo mwingine mtoto wa mama Raisi Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni mwanilishi wa baraza la wawakilishi kule zanzibar
Jamaa kaoa familia zote Bora
Wabunge wengine na nyie leteni wake zenu tuwaone
Huyo aliyeng'aa mkubwaKa bi mdogo kameng'aaa 😅😅
🙄🙄🙄 mbona mkubwaa anaonekana ni 🔥🔥🔥🔥🔥 kuliko mdogo au macho yangu tuHuyo aliyeng'aa mkubwa
Nami naongezea: mwenye wake naye alitakiwa tumwone kwenye picha kukamilisha habari, na bado anayo fursa ya kuongeza wawili?Wangegeuka kwa nyuma tuone [emoji39][emoji39]