Waziri na mbunge, Juma Aweso atinga na wake zake wawili bungeni, shangwe latawala. Kumbe wabunge wanapenda wake wengi kiasi hiki!

Huyo Zainab Abdallah ndio Mkuu wa Wilaya ya Bagomoyo.

Jiwe nae alikuwa na wake wangapi? Hivi Angela Jamsine Kairuki ambaye ni mtoto wa nje wa Salim Ahmed Salim yuko wapi siku hizi? Nimeuliza tuu
Yuko Dar, Ana mradi wake Wa ufugaji Wa kuku Kwa Mathias-Kibaha
 
Ujinga mtupu!

Hayo ndio wanayoyaweza sababu wamo wao pekeyao tena wengi wao waliingia kwa maagizo ya vimemo.
 
Mke ni mmoja, mwingine/wengine ni suria/masuria - second grade wife, a dedicated concubine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…