Waziri Nape akiri kufuatilia mijadala inayoendelea kuhusu mtandao wa X kufungiwa, asema TCRA itatimiza wajibu kuhakikisha watoto wanakuwa salama

Waziri Nape akiri kufuatilia mijadala inayoendelea kuhusu mtandao wa X kufungiwa, asema TCRA itatimiza wajibu kuhakikisha watoto wanakuwa salama

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
IMG_20240617_125803_090.jpg

Waziri wa Habari, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Nape Nnauye amesema wanaona mijadala yote inayoendelea (kuhusu maoni ya kama mtandao wa X ufungiwe au laah) na kusema Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), itatimiza wajibu wake wa kuhakikisha Tanzania na hususani kizazi cha Watoto kipo salama.

Pia soma: CCM na Serikali tuambieni ukweli, kelele za kutaka X(Twitter) ifungiwe ni maandalizi ya kuzima mitandao kipindi cha uchaguzi

Akijibu hoja za Wadau kwenye mtandao wa X, Nape amesema “TCRA watapima madhara yatokanayo na mabadiliko ya sera yaliyofanywa na mtandao husika (X zamani Twitter) na mitando mingine na kuchukua hatua stahiki kwa wakati sahihi”
 
Waziri wa Habari, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Nape Nnauye amesema wanaona mijadala yote inayoendelea (kuhusu maoni ya kama mtandao wa X ufungiwe au laah) na kusema Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), itatimiza wajibu wake wa kuhakikisha Tanzania na hususani kizazi cha Watoto kipo salama.

Akijibu hoja za Wadau kwenye mtandao wa X, Nape amesema “TCRA watapima madhara yatokanayo na mabadiliko ya sera yaliyofanywa na mtandao husika (X zamani Twitter) na mitando mingine na kuchukua hatua stahiki kwa wakati sahihi”
Mbona kwa sasa brazzers.com inafunguka , imekuaje sasa
 
Waoga hawa,wamezidiwa hoja na upinzani wanakirupuka kutaka kuifungia
 
Waziri wa Habari, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Nape Nnauye amesema wanaona mijadala yote inayoendelea (kuhusu maoni ya kama mtandao wa X ufungiwe au laah) na kusema Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), itatimiza wajibu wake wa kuhakikisha Tanzania na hususani kizazi cha Watoto kipo salama.

Akijibu hoja za Wadau kwenye mtandao wa X, Nape amesema “TCRA watapima madhara yatokanayo na mabadiliko ya sera yaliyofanywa na mtandao husika (X zamani Twitter) na mitando mingine na kuchukua hatua stahiki kwa wakati sahihi”
Ulmashambulizi kuhusu mrandao wa X NI coordinated plan ya ccm ili x ifungwe, why ifingwe? Mule kuna wanaharakati wanatoa vitu vya ku expose wanasiasa although pia kuna tatizo la picha chafu (which user mwenyewe anaweza kuset azione au asione). But mwisho hili linaweza kutumika kama njama ya kuufunga because uchaguzi umekaribia
 
Moja ya mawaziri mizigo kuwahi kutokea Nchi hii huyu jamaa ni mmojawapo, ni kiongozi ambaye yupo kwa ajili ya tumbo lake badala ya maslahi ya umma, hiki unachokipambania kitokee kuhusu kufungiwa kwa mtandao X, akiwa na ma CCM yenye uwezo mdogo wa kufikiri ni moja ya alama ya viongozi dhaifu tulionao, Kiongozi amekosa uadilifu, uaminifu, pamoja na ukweli inakuaje anawekwa kwenye ofisi ya Umma? Takataka kama hizi ndio zinazotufanya turudi nyuma badala ya kusonga mbele kwa ajili ya kuongozwa na wachumia tumbo mfano wa kina Nauye, mtu aliyefeli somo la Uraia ( Civics) na kupata F cha kushangaza ndio yupo ofisini anawaongoza wengine, hii nchi ina vichekesho sana aisee. Eti watu wasio na uwezo mithili ya kina Nauye ndio wanaongoza watu wenye uwezo ( akili kubwa).
 
Ulmashambulizi kuhusu mrandao wa X NI coordinated plan ya ccm ili x ifungwe, why ifingwe? Mule kuna wanaharakati wanatoa vitu vya ku expose wanasiasa although pia kuna tatizo la picha chafu (which user mwenyewe anaweza kuset azione au asione). But mwisho hili linaweza kutumika kama njama ya kuufunga because uchaguzi umekaribia
Ni kweli mkuu. Kuhusu picha chafu labda wewe mwenyewe utake kutizama. Kabla ya kufungua unapewa angalizo.

Wakiufungia itakuwa sababu za kisiasa.
 
Si afunge hata leo tuone huko mnapokopa kama hamjalimwa NYUNDO

Jibuni Hoja za Lissu
 
Ukimsikiliza Nape utagundua amewaandaa watu kisaikolojia, ili wakifingia X zamani tweeter isije ikaleta maneno mengi. Na pia kwake itakua rahisi kuijibia kwamba alizingatia vigezo vyote katika mchakato mzima.
 
Ukimsikiliza Nape utagundua amewaandaa watu kisaikolojia, ili wakifingia X zamani tweeter isije ikaleta maneno mengi. Na pia kwake itakua rahisi kuijibia kwamba alizingatia vigezo vyote katika mchakato mzima.
Hawawez kufungia hata siku moja trust me!
Mama ametumia miaka mingi kujijenga kuwa ni champion wa demokrasia etc hawez kubali kupoteza hizo sifa.
Mbaya zaidi kufungia social media kipind cha uchaguz? Hawez
 
Back
Top Bottom