Waziri Nape akiri kufuatilia mijadala inayoendelea kuhusu mtandao wa X kufungiwa, asema TCRA itatimiza wajibu kuhakikisha watoto wanakuwa salama

Waziri Nape akiri kufuatilia mijadala inayoendelea kuhusu mtandao wa X kufungiwa, asema TCRA itatimiza wajibu kuhakikisha watoto wanakuwa salama

“Tunaona mijadala yote, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), itatimiza wajibu wake wa kuhakikisha Tanzania hasa kizazi cha watoto wetu kipo salama. TCRA watapima madhara yatokanayo na mabadiliko ya sera yaliyofanywa na mtandao husika na mitandao mingine na kuchukua hatua stahiki kwa wakati sahihi.” – Nape Nnauye, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
 
.
1718621636290.jpg
 
MBONA WANAHANGAIKA NA X TU WAKATI KUNA MTANDAO KAMA TELE, TIKTOK BADOO HUKO KUNA MAUNYAMA YA KUTOSHA
 
Back
Top Bottom