Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Wakuu kuuliza Sio Ujinga
.
Niliwahi sikia kupitia Kwa Waziri Mmoja akijinasibu Kwamba local Channel Zote za Tz zimerudishwa kwenye Decoder ya DStv.
.
Na Hata Kama Kifurushi chako kikiisha zile local channels zinaendelea kuonekana.
.
Lakini Cha ajabu kifurushi chako Cha DStv kikiisha na kama Haujalipia Chanel ambayo Iko DStv ambayo ni free kuangalia ni Tbc1 tu.
.
Je DStv Hawakufuata Masharti ya Waziri Husika?
.
Niliwahi sikia kupitia Kwa Waziri Mmoja akijinasibu Kwamba local Channel Zote za Tz zimerudishwa kwenye Decoder ya DStv.
.
Na Hata Kama Kifurushi chako kikiisha zile local channels zinaendelea kuonekana.
.
Lakini Cha ajabu kifurushi chako Cha DStv kikiisha na kama Haujalipia Chanel ambayo Iko DStv ambayo ni free kuangalia ni Tbc1 tu.
.
Je DStv Hawakufuata Masharti ya Waziri Husika?