Waziri Nape Alitudanganya Local Channels Kuonekana Kwenye King'amuzi Cha DStV?

Waziri Nape Alitudanganya Local Channels Kuonekana Kwenye King'amuzi Cha DStV?

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Wakuu kuuliza Sio Ujinga
.
Niliwahi sikia kupitia Kwa Waziri Mmoja akijinasibu Kwamba local Channel Zote za Tz zimerudishwa kwenye Decoder ya DStv.
.
Na Hata Kama Kifurushi chako kikiisha zile local channels zinaendelea kuonekana.
.
Lakini Cha ajabu kifurushi chako Cha DStv kikiisha na kama Haujalipia Chanel ambayo Iko DStv ambayo ni free kuangalia ni Tbc1 tu.
.
Je DStv Hawakufuata Masharti ya Waziri Husika?
 
Hata juzi mhe alikuwa online ktk forum flan ivi watu walishindwa kuhoji vitu kama ivi ..sensitive maana waziri ni serikali, sasa mwwkezaji kukiuka kauli ya waziri si nisawa kujiona yupo juu ya sheria za nchi ...
 
Ushauri Wangu Kwa Dstv, hata ile channel ya matangazo Yaani dish Tv- 100.nayo waikate.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Na tbc nayo waikate hawa kina shelukindo Kama ni wasimamizi kwa hapa nyumbani hawajui Hali za watanzania wakalisimamia hili kuboresha soko lao maana Azam vingamuzi vyao ni Tsh 99000 Cha Hali ya chini na vinanunulika sio mchezo DStv naviona mpaka mitaani madishi yameegeshwa barabaran 59000.
 
Receiver yangu ya DSTV explora imekuharibika, naambiwa kupata nyingine nilipe Tzs 480,000/= Duh wameniacha hoi
 
🤣🤣🤣kwa hiyo wana DStv waziri kawapiga tatu au sio!!!🤣🤣🤣🤣
 
Ni sawa ni serikali ikulazimishe ule biriani kila siku, bila kukupa hela.
 
Kuna uwezekano kuna namna ilifanyika ili akidabilishe kile kifungu cha Sheria ili DSTV warushe hiz FTA wapigie promo kuuza ving`amuzi vyao vinavyododa barabarani.
 
Back
Top Bottom