Waziri Nape Alitudanganya Local Channels Kuonekana Kwenye King'amuzi Cha DStV?

Waziri Nape Alitudanganya Local Channels Kuonekana Kwenye King'amuzi Cha DStV?

Wakuu kuuliza Sio Ujinga
.
Niliwahi sikia kupitia Kwa Waziri Mmoja akijinasibu Kwamba local Channel Zote za Tz zimerudishwa kwenye Decoder ya DStv.
.
Na Hata Kama Kifurushi chako kikiisha zile local channels zinaendelea kuonekana.
.
Lakini Cha ajabu kifurushi chako Cha DStv kikiisha na kama Haujalipia Chanel ambayo Iko DStv ambayo ni free kuangalia ni Tbc1 tu.
.
Je DStv Hawakufuata Masharti ya Waziri Husika?
Hata suala la bando Nape alitudanganya mchana kweupe
 
Kwani kilochofanya zikaondolewa si kuonekana kwamba walikiuka masharti ya mkataba ambayo yapo kisheria,kwahivyo ili ziwe za bule inatakiwa Sheria ipelekwe bungeni Tena ifanyiwe marekebisho nasio hayo matamko ya kisiasa ya kutaka cheap popularity.
 
Hata StarTimes hakuna Chanel ya bure Hadi TBC
 
DStv Wamerudisha Kwenye King'amuzi Chao Local Channels za Tz Kasoro Wasafi+TvE+Channel10+
.
Kumbe Kelle zetu zinasikika WAkati mwingine
.
Asante Sana DStv sio Kwamba Nilishindwa Kulipa Ila Nilitaka Lile agizo la Serikali Litekelezwe 🙂🙂🙂
 
Wakuu hivi Kuna tofauti kati ya free to air channels na Local channels.🤷🏾‍♂️
 
Wakuu kuuliza Sio Ujinga
.
Niliwahi sikia kupitia Kwa Waziri Mmoja akijinasibu Kwamba local Channel Zote za Tz zimerudishwa kwenye Decoder ya DStv.
.
Na Hata Kama Kifurushi chako kikiisha zile local channels zinaendelea kuonekana.
.
Lakini Cha ajabu kifurushi chako Cha DStv kikiisha na kama Haujalipia Chanel ambayo Iko DStv ambayo ni free kuangalia ni Tbc1 tu.
.
Je DStv Hawakufuata Masharti ya Waziri Husika?
Update account yako zitaonekana
 
Back
Top Bottom