Una ufukunyuku hehehehe
Waziri Nape ameyasema hayo katika Kongamano la Jukwaa la Fikra kuhusu mabadiliko ya digitali leo tar 20 jijini Dar, akisema kuwa inauma kusikia mifumo ya Tanzania bado haiwezi kusomana.
Ametolea mfano kipindi alipoenda Hospitali ya Benjamin Mkapa na kufanya kipimo cha MRI ya mguu wake halafu alivyoenda Muhimbili MOI hawakuweza kupata taarifa hiyo na kumwambia afanye kipimo tena.
Kama waziri anashangazwa na kuumia, sisi wengine tufanye nini?
Suluhisho la hili ni kutafuta MWEKEZAJI !!!!
Dubai walishasema tuwajulishe kunapotokea opportunity yoyote
Isingekuwa inasoma tungeionaje hii.Waziri Nape ameyasema hayo katika Kongamano la Jukwaa la Fikra kuhusu mabadiliko ya digitali leo tar 20 jijini Dar, akisema kuwa inauma kusikia mifumo ya Tanzania bado haiwezi kusomana.
Ametolea mfano kipindi alipoenda Hospitali ya Benjamin Mkapa na kufanya kipimo cha MRI ya mguu wake halafu alivyoenda Muhimbili MOI hawakuweza kupata taarifa hiyo na kumwambia afanye kipimo tena.
Kama waziri anashangazwa na kuumia, sisi wengine tufanye nini?