Waziri Nape chunguza hili tatizo la kupungua kwa spidi ya internet ya Mitandao ya Voda na Airtel

Waziri Nape chunguza hili tatizo la kupungua kwa spidi ya internet ya Mitandao ya Voda na Airtel

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Kwako waziri Nape

Siku za hivi karibuni kumejitokeza hali isiyo ya kawaida ya spidi ya Mitandao ya Voda na Airtel kuwa ndogo sana.

Licha ya spidi kuendelea kuwa ndogo lakini gharama za vifurushi vyao imeendelea kuwa ileile (ukiachilia mbali like sakata la mwaka Jana la kupanda bei za vifurushi).

Tunaiomba serikali kupitia TCRA iingile kati ione kuwa he haya makampuni yanataka yaweke presha kulazimisha upandaji wa bei za vifurushi ndo yatupe huduma Bora?

Ni jambo la kusikitisha kuona hii Mitandao spidi yake inakuwa ya kinyonga wakati wananchi tunalipa Hela ndefu kupata vifurushi vyetu

Mheshimiwa Waziri lifanyie kazi hili suala mrandao umekuwa slow sana kazi za maendeleo zinazohitaji data hazifanyiki ipasavyo.

Mtandao unaokera zaidi ni hawa Airtel, Mtandao wao umekuwa slow kushinda kinyonga.
 
Kwako waziri Nape

Siku za hivi karibuni kumejitokeza hali isiyo ya kawaida ya spidi ya Mitandao ya Voda na Airtel kuwa ndogo sana.

Licha ya spidi kuendelea kuwa ndogo lakini gharama za vifurushi vyao imeendelea kuwa ileile (ukiachilia mbali like sakata la mwaka Jana la kupanda bei za vifurushi).

Tunaiomba serikali kupitia TCRA iingile kati ione kuwa he haya makampuni yanataka yaweke presha kulazimisha upandaji wa bei za vifurushi ndo yatupe huduma Bora?

Ni jambo la kusikitisha kuona hii Mitandao spidi yake inakuwa ya kinyonga wakati wananchi tunalipa Hela ndefu kupata vifurushi vyetu

Mheshimiwa Waziri lifanyie kazi hili suala mrandao umekuwa slow sana kazi za maendeleo zinazohitaji data hazifanyiki ipasavyo.

Mtandao unaokera zaidi ni hawa Airtel, Mtandao wao umekuwa slow kushinda kinyonga.
Hamia Kenya

USSR
 
Kwako waziri Nape

Siku za hivi karibuni kumejitokeza hali isiyo ya kawaida ya spidi ya Mitandao ya Voda na Airtel kuwa ndogo sana.

Licha ya spidi kuendelea kuwa ndogo lakini gharama za vifurushi vyao imeendelea kuwa ileile (ukiachilia mbali like sakata la mwaka Jana la kupanda bei za vifurushi).

Tunaiomba serikali kupitia TCRA iingile kati ione kuwa he haya makampuni yanataka yaweke presha kulazimisha upandaji wa bei za vifurushi ndo yatupe huduma Bora?

Ni jambo la kusikitisha kuona hii Mitandao spidi yake inakuwa ya kinyonga wakati wananchi tunalipa Hela ndefu kupata vifurushi vyetu

Mheshimiwa Waziri lifanyie kazi hili suala mrandao umekuwa slow sana kazi za maendeleo zinazohitaji data hazifanyiki ipasavyo.

Mtandao unaokera zaidi ni hawa Airtel, Mtandao wao umekuwa slow kushinda kinyonga.
Bora umesema hawa Airtel Kasi ya internet very slow kweli mhe waziri alifanyie kazi hili
 
Hili la voda nilijua labda simu yangu ghafla ina tatizo ....au labda napokaa sasa network ni shida au labda au labda au labda ......

Kiufupi nimeacha kununua bundle la voda maana Mbs zangu zinapotea t , sometimes mtu akikupigia hakupati ili mradi ni vurugu tu.
 
Hili la voda nilijua labda simu yangu ghafla ina tatizo ....au labda napokaa sasa network ni shida au labda au labda au labda ......

Kiufupi nimeacha kununua bundle la voda maana Mbs zangu zinapotea t , sometimes mtu akikupigia hakupati ili mradi ni vurugu tu.
Na voda wanakwangua bundle za watu kama hawana akili nzuri.

ukiwauliza Wana majibu Yao Fulani hivi ya ajabuajabu eti

1. angalia simu yako isiwe na background download
2. Au eti jiunge option ya spidi ndogo

Hayo yanafanyika mbona bado voda iko slow na bado vifurushi vya watu vinaisha fasta, nyie voda vipi?
 
Hili la voda nilijua labda simu yangu ghafla ina tatizo ....au labda napokaa sasa network ni shida au labda au labda au labda ......

Kiufupi nimeacha kununua bundle la voda maana Mbs zangu zinapotea t , sometimes mtu akikupigia hakupati ili mradi ni vurugu tu.
Bora ya Voda kwa Tanzania lakini Airtel majanga. Kwa net Tanzania nadhani hakuna kama Voda ila je wanaweza kufanya zaidi jibu yes lazima wajiboreshe zaidi hawa wengine shida bado
 
Kuna mtoto wa mjini kanunua Kampuni ya TiGo isije ikawa kawapenyezea rupia wanene na mainjinia wa Airtel wahujumu huduma za makampuni Yao ili sisi wateja tukasirike then tuhamie kwake kutafuta unafuu.
Haya mambo huwa hayatokei bahati mbaya
 
Hii ni trick wanatumia mitandao ya simu ili wapige faida.

Mfano umechukua GB zako 10, kwa wiki, wakiweka speed ndogo it means hautamaliza hilo bando na wiki ikifika bando limeisha huku GB zako umewaachia
 
Ili mradi yule dhalim hayuko duniani wacha lolote litokee
Kabisa,

Si unaona hayupo sasa kila kitu kipo shawari!

Mafuta bei chini
Kodi chini
Bidhaa bei sawa na bureee
Hela kila kona

Hakika dhalimu alituonea sana
 
Hii ni trick wanatumia mitandao ya simu ili wapige faida.

Mfano umechukua GB zako 10, kwa wiki, wakiweka speed ndogo it means hautamaliza hilo bando na wiki ikifika bando limeisha huku GB zako umewaachia
Hutomaliza...hautamaliza,hautakuja,hauli,hauendi siyo kiswahili
 
Kwako waziri Nape

Siku za hivi karibuni kumejitokeza hali isiyo ya kawaida ya spidi ya Mitandao ya Voda na Airtel kuwa ndogo sana.

Licha ya spidi kuendelea kuwa ndogo lakini gharama za vifurushi vyao imeendelea kuwa ileile (ukiachilia mbali like sakata la mwaka Jana la kupanda bei za vifurushi).

Tunaiomba serikali kupitia TCRA iingile kati ione kuwa he haya makampuni yanataka yaweke presha kulazimisha upandaji wa bei za vifurushi ndo yatupe huduma Bora?

Ni jambo la kusikitisha kuona hii Mitandao spidi yake inakuwa ya kinyonga wakati wananchi tunalipa Hela ndefu kupata vifurushi vyetu

Mheshimiwa Waziri lifanyie kazi hili suala mrandao umekuwa slow sana kazi za maendeleo zinazohitaji data hazifanyiki ipasavyo.

Mtandao unaokera zaidi ni hawa Airtel, Mtandao wao umekuwa slow kushinda kinyonga.
Mimi ndiyo Halotel waliniibia bando la 3000 sikutumia hata sekunde Moja kids mtandao
 
Back
Top Bottom