Waziri Nape hii kauli yako imetufikirisha na kutuchanganya mno 'Werevu' wachache nchini, hebu ifafanue tafadhali

Waziri Nape hii kauli yako imetufikirisha na kutuchanganya mno 'Werevu' wachache nchini, hebu ifafanue tafadhali

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Kama Waziri wa Sekta hii ya Habari nimeagiza kufanyike Uchunguzi wa Kina ni kwanini kwa Siku za karibuni kila kukitokea tu Ajali zinazohusisha Misafara ya Viongozi nchini Gari zinazohusika ni zilizobeba Waandishi wa Habari na Wao ndiyo hufa kwa wingi" Waziri wa Habari Nape Nauye.

Kamarada (Comrade) wangu Waziri Nape Nauye GENTAMYCINE nina Maswali yangu mengi juu yako dhidi ya hii Kauli yako ila kwa Kuanzia sikuulizi sasa, ila nawaachia sasa 'Great Thinkers' wa 'JamiiForums' wakukabili na ikiwezekana wao sasa ndiyo Wakuulize.

Labda nihitimishe tu kwa sasa kwa Kukuuliza hivi Waziri Nape Nauye jana ulipoitoa hii Kauli pale Mazishini Mkoani Mwanza mbele ya ule Umma (Umati) Kichwani mwako ulikuwa sawa sawa au labda bado ile 'appointment hangover' inakutesa? Umenisikitisha na Kunishangaza sana Kamarada wangu.

Acha 'Kuhemka' na 'Kudemka' mapema.
 
"Kama Waziri wa Sekta hii ya Habari nimeagiza kufanyike Uchunguzi wa Kina ni kwanini kwa Siku za karibuni kila kukitokea tu Ajali zinazohusisha Misafara ya Viongozi nchini Gari zinazohusika ni zilizobeba Waandishi wa Habari na Wao ndiyo hufa kwa wingi" Waziri wa Habari Nape Nauye.

Kamarada ( Comrade ) wangu Waziri Nape Nauye GENTAMYCINE nina Maswali yangu mengi juu yako dhidi ya hii Kauli yako ila kwa Kuanzia sikuulizi sasa, ila nawaachia sasa 'Great Thinkers' wa 'JamiiForums' wakukabili na ikiwezekana wao sasa ndiyo Wakuulize.

Labda nihitimishe tu kwa sasa kwa Kukuuliza hivi Waziri Nape Nauye jana ulipoitoa hii Kauli pale Mazishini Mkoani Mwanza mbele ya ule Umma ( Umati ) Kichwani mwako ulikuwa sawa sawa au labda bado ile 'appointment hangover' inakutesa? Umenisikitisha na Kunishangaza sana Kamarada wangu.

Acha 'Kuhemka' na 'Kudemka' mapema.
Huyu nae ni kilaza,polisi wameishasema ajari imesababishwa na mwendo Kasi na uzembe Wa dereva,hakuna conspiracy theory hapo,asitake kuwahaminisha watu kwamba hizi ajari Zina mkono wa mtu au zinasababishwa makusudi!!anayesababisha nae anakufa!!hata haiingii akilini.
Madereva wa serikali ndio wanaoongoza kwa uzembe na mwendo kasi.asisahau Kingwangala alipata ajari ya kugongea twiga,V8 kote likawa written off!!hapo atasemaje na hii ajari ilisababishwa!!huyu ni muongea hovyo tu,na mpayukaji!!
 
"Kama Waziri wa Sekta hii ya Habari nimeagiza kufanyike Uchunguzi wa Kina ni kwanini kwa Siku za karibuni kila kukitokea tu Ajali zinazohusisha Misafara ya Viongozi nchini Gari zinazohusika ni zilizobeba Waandishi wa Habari na Wao ndiyo hufa kwa wingi" Waziri wa Habari Nape Nauye.

Kamarada ( Comrade ) wangu Waziri Nape Nauye GENTAMYCINE nina Maswali yangu mengi juu yako dhidi ya hii Kauli yako ila kwa Kuanzia sikuulizi sasa, ila nawaachia sasa 'Great Thinkers' wa 'JamiiForums' wakukabili na ikiwezekana wao sasa ndiyo Wakuulize.

Labda nihitimishe tu kwa sasa kwa Kukuuliza hivi Waziri Nape Nauye jana ulipoitoa hii Kauli pale Mazishini Mkoani Mwanza mbele ya ule Umma ( Umati ) Kichwani mwako ulikuwa sawa sawa au labda bado ile 'appointment hangover' inakutesa? Umenisikitisha na Kunishangaza sana Kamarada wangu.

Acha 'Kuhemka' na 'Kudemka' mapema.
Ngoja nimsaidie kumjibu. Waandishi wanaingia kwenye msafara unaoenda Kasi ambayo wao hawaimudu. Wenzao kwenye msafara wako trained,mafunzo maalum ya kuendesha vile wanavyoendesha. Sasa wewe na Land cruiser mkonge unataka kufuata msafara wenye VXR zinazoemdeshwa na special trained drivers utaumia tu kama sio kufa.
 
Back
Top Bottom