HEKIMA KWANZA
JF-Expert Member
- Mar 31, 2015
- 2,942
- 3,937
Waziri Nape, kuna dosari kwenye zoezi la anuani za Mitaa. Ipo mitaa inandikwa kwa jina la Kiswahili na mingine inaandikwa kwa lugha ya Kiingereza.
Unakute vibao viwili vinavyotumia mlingoti mmoja, kimoja kimeandika Mtaa wa MTAA WA MARKET, na kibao kingine kwenye mlingoti huo huo kimeandikwa UHURU ROAD! Nakushauri uteremke kwenye hiyo helikopta ili uone kasoro zinazoendelea huku ardhini.
Mitaa mingine unakuta imeandiki MAPINDUZI LOAD! Nchi inaonekana haiko makini kabisa na wewe Waziri unaonekana huna mkakati wa kueleweka wa kusimamia hili zoezi. Kaa na watu wako mrekebishe hayo makosa, ni aibu.
Wengine mnaweza kuongeza dosari mnazoziona kwenye maeneo yenu.
Unakute vibao viwili vinavyotumia mlingoti mmoja, kimoja kimeandika Mtaa wa MTAA WA MARKET, na kibao kingine kwenye mlingoti huo huo kimeandikwa UHURU ROAD! Nakushauri uteremke kwenye hiyo helikopta ili uone kasoro zinazoendelea huku ardhini.
Mitaa mingine unakuta imeandiki MAPINDUZI LOAD! Nchi inaonekana haiko makini kabisa na wewe Waziri unaonekana huna mkakati wa kueleweka wa kusimamia hili zoezi. Kaa na watu wako mrekebishe hayo makosa, ni aibu.
Wengine mnaweza kuongeza dosari mnazoziona kwenye maeneo yenu.