Waziri Nape Nnauye aitaka TCRA kuyaagiza Makampuni ya Mawasiliano kusitisha upandishaji wa bei ya Vifurushi

Haya mabando yamepanda lini?
 
Maigizo tupu hata Ndugulile aliagiza lakini matokeo yake yakawa tofauti kabisa
 
Sasahivi kuna matamko tupu lakini utekelezaji ni zero kabisa
 
Tatizo lipo kwa Waziri wa Fedha, jamaa gaidi sana yule.
 
Ni marudio tu, makampuni ni mali yao wao wanaohoji.
Siasa tu hiyo, hakuna kitu. Wamiliki ni wakubwa hao hao. Nani asiye jua hela ya serikali ilivyo pindishwa toka ttcl kuanzishwa AIRTEL? Mkopo toka world bank ulivyo pindishwa kuingia mikono binafsi na kuanzishwa halotel? Anatafuta mgao wake.
 
Kiukweli watuache tu maana walijaribu wakshindwa
 
Hawezi kuingilia huko. Yeye anacheza na vitu viko chini ya wizara take.
Yeye amezungumzia serikali , ina maana serikali nzima inaundwa na nape tu?kama wana huruma hiyo hao mawaziri wa wizara nyingine, wako wapi?juzi waziri anataka maelezo eti kwanini soda zimepanda bei?!!
 
Dogo katika ubora wake.
Juzi juzi aliahidi ndani ya miezi mitano kila nyumba itakua na physical address.
Juzi Kati katoa agizo kila muandishi aliyekufa alipwe ndani ya wiki mbili.
Leo Tena.
 
Hayo mambo ya vitabuni, kwa sasa karibu makampuni yote bei zinafanana na zimepandishwa na serikali wala si makampuni.

Nilikuwa nanunua gb. 7 halotel kwa 5000 tu sasa hivi kwa 10000 ndio napata hizo gb 7, Ni wizi wa mchana.
Hiki ni kifurushi gani maana kwangu hata 10,000 napata GB 4.9 tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…