Ad majorem
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 939
- 1,460
Kuna ongezeko kubwa Sana la madogo wanaoliwa kisamvu vyuoni. Movie za mambele na TikTok zimeharibu vijana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tuwe tunaheshimiana hata Kama tuna tumia id fake mimi nimetoa msimamo wa serikali kuhusu jambo hilo,Kama tungekuwa na nia ya dhati katika jambo hilo serikali usingekuwa na msimamo wa hivyo ni dhahiri kwamba unatumia mihemko kuliko fact.Na hautaki wajisahihishe.?
Wewe ni miongoni mwa wale mashoga?
Mimi naona hio sio issue ya msingi ya kutusahaulisha mfumuko wa bei ya kila kitu maana mtu kama anaamua kutoa mk..ndu wake sasa mimi naathirika na nini?
Siyo movie hata media's na hii miziki yao sahv kote wamejaKuna ongezeko kubwa Sana la madogo wanaoliwa kisamvu vyuoni. Movie za mambele na TikTok zimeharibu vijana.