Mkuu tuwe tunaheshimiana hata Kama tuna tumia id fake mimi nimetoa msimamo wa serikali kuhusu jambo hilo,Kama tungekuwa na nia ya dhati katika jambo hilo serikali usingekuwa na msimamo wa hivyo ni dhahiri kwamba unatumia mihemko kuliko fact.
Mimi naona hio sio issue ya msingi ya kutusahaulisha mfumuko wa bei ya kila kitu maana mtu kama anaamua kutoa mk..ndu wake sasa mimi naathirika na nini?