BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 525
- 1,257
Serikali imeeleza kuwa ongezeko la matumizi ya miamla ya fedha kwa njia ya simu imewapa wazo la kutunga sheria kutambua njia hizo zitambulike ikiwezekana kwa kuangalia uchumi wa mtu na itumike kama dhamana wakati wa kukopa benki.
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema hayo leo Aprili 6, 2022.
“Huduma ya kifedha za mawasiliano ya simu ya mkononi imekuwa mkombozi hasa kwa wale ambao huduma za benki hazijawafikia hasa vijijini na kumekuwa na ongezeko la matumizi kuliko hata benki kwa baadhi ya maeneo,” - Nape.
Soma: Mazingira ya Kisheria na Kifedha kwa Biashara Ndogondogo Nchini Tanzania
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema hayo leo Aprili 6, 2022.
“Huduma ya kifedha za mawasiliano ya simu ya mkononi imekuwa mkombozi hasa kwa wale ambao huduma za benki hazijawafikia hasa vijijini na kumekuwa na ongezeko la matumizi kuliko hata benki kwa baadhi ya maeneo,” - Nape.
Soma: Mazingira ya Kisheria na Kifedha kwa Biashara Ndogondogo Nchini Tanzania