Waziri Nape waelekeze DSTV na AZAM TV Waweke option ya kulipia kwa match unayotaka kuangalia

Waziri Nape waelekeze DSTV na AZAM TV Waweke option ya kulipia kwa match unayotaka kuangalia

Option iwe lipa

10,000/= kwa mwezi uchague 20 including 12 local channels

20,000/= kwa mwezi uchague channels 30 including 12local channels

30,000/= kwa mwezi uchague channels 40 including 12local channels

40,000/= kwa mwezi uchague channels 50 including 12local channels

50,000/= kwa mwezi uchague channels 60 including 12local channels

60,000/= kwa mwezi uchague channels 80 including unlimited local channels

120,000/= full HD & 4k channels yaan channel zote walizonazo dstv zinakuwa yaan unaona had kipele
 
Hiyo pay per view unayoitaka ni lazima uwe na decorder.
Watakuunganishia wapi hiyo mechi unayoichagua?
 
Hapo Nape anaingia vipi kwenye Business Model za Watu ?

Washauri wahusika directly kama wataona faida ya kufanya hivyo, au kama wateja wengi watashurutisha hio option basi watafanya na sio vinginevyo..
 
Kichwa cha habari kinajieleza, nchi nyingine wanaruhusu kulipia kwa match ama kuchagua movie unayotaka unalipia, ama pay per View, why not do the same ?

Nawasilisha

-----‐--------
Hawa DSTV tatizo lao wanataka faida kubwa kwa haraka, wenzao AZAM TV japokuwa hawaweki pesa kubwa lakini wana wateja wengi zaidi, na is just a matter of time , DSTV wasipobadilisha business model yao wataondolewa sokoni na aidha AZAM TV or another rival who is more consumer oriented. Kilichowafanya Google kuwa giant na ku survive a test of time, ni model yao ya 'long tail ', yaani kutobagua wateja wadogo wadogo, na hiyo model ndio wanaitumia AZAM TV, sasa AZAM TV wakijiongeza kidogo tu, wakaja na model hii ninayopendekeza watawatoa rivals sokoni.

Naona unampa maelekezo waziri ili awape maelekezo wengine wa Chini yake
 
Option iwe lipa

10,000/= kwa mwezi uchague 20 including 12 local channels

20,000/= kwa mwezi uchague channels 30 including 12local channels

30,000/= kwa mwezi uchague channels 40 including 12local channels

40,000/= kwa mwezi uchague channels 50 including 12local channels

50,000/= kwa mwezi uchague channels 60 including 12local channels

60,000/= kwa mwezi uchague channels 80 including unlimited local channels

120,000/= full HD & 4k channels yaan channel zote walizonazo dstv zinakuwa yaan unaona had kipele
How unaweza subscribe namna hii ?
 
Sio kazi ya waziri kutoa maelekezo kwa kampuni binafsi namna ya kuendesha biashara zao...

PPV (Pay per view) ni utaratibu tu ambao ya TV ikiona unalipa basi inafanya...
 
Guys kama kuna mtu anahitaji king'amuzi complete/full kit cha AZAM cha DISH ambacho ni kipya kabisa hakijamaliza hata mwezi na kimeshalipiwa chaneli zote kwa miezi mitatu. naomba anicheki DM tufanye biashara, kinapatikana kwa 165k (non-negotiable price)
 
Kama itawalipa wataweka........
Hiyo hawawezi kuikubali kamwe!!hao azam tv walikuwa nayo ya kulipia kwa wiki tsh.9000,kwa kifurushi cha mipira lakini siku hizi hakipo!!!kwani wanajua hiyo mipira ndio inawafanya watu kulipia.
 
Hilo haliwezekani
Iko hivi kwa mfano DSTV wana wateja 100 ambao kwa mwezi watapaswa kulipia wastani wa kifurushi cha chini cha 9000 ambapo kwa mwezi wataingiza 900000
Sasa ukiweka hiyo option unayotaka na mipira haichezwi kila siku na watu wataangalia zile game za ukweli ambapo kwa kila game mtu atalipia tuseme 2000 na game za ukweli kwa mwezi zinaweza kuwa nne tu hivyo kwa kila mteja watakusanya 8000 kwa mwezi na kwa wateja 100 itakua ni 800000
Kwa mfumo huo watapoteza 100000 kila mwezi .
Unafikiri watakubali hilo wazo?
 
Kifupi ni kwamba.
Tuliozoe DStv hatuwezikwenda AZAM au Starshit.
DStv iko level nyingine Kaka.
 
Back
Top Bottom