Watatuaje matatizo wenyewe?
Vet surgeon alisema yote hayo wameshafanya ila wizara husika na viongozi wa TVSA ndio
Vet Surgeon, wizarani mlipeleka malalamiko yenu kwa nani? Kwa Waziri, Katibu mkuu au Mkurugenzi?Watatuaje matatizo wenyewe?
Vet surgeon alisema yote hayo wameshafanya ila wizara husika na viongozi wa TVSA ndio tatizo
kwani nini tofauti yake si wote ni madaktari?shida yenu mnataka kuona fani fulani ni bora kuliko nyingine wakati fani zote zinategemeana.achaneni na hulka hizo za kitoto hakuna fani bora kuliko nyingine kama ndivyo mbona wote wako mtaani?Mnajimalize wenyewe! Pambaneni. Tatizo wanataka kujilinganisha MD na vet doctor. Mnyama akizidiwa Dr wa Mifugo anasema chinja usipate hasara, lakini MD hawezi kusema hivyo. Pambaneni. Declare interest ni mtalaamu wa lishe ya mifugo
Shida ipo kwa viongozi wetu hao hao.P
Vet Surgeon, ni lazima uelewe kuwa matatizo yako yatatuliwa na wewe mwenyewe kwa kiasi kikubwa. Nachoweza kuwashauri ni yafuatayo:
1. Fikisheni malalamiko yenu kwa viongozi wenu wa TVSA.
2. Mji'organise wote mfanye utaratibu wa kutuma wawakilishi kwenda Wizara yenye dhamana ya mifugo ili mfikishe malalamiko yenu.
Kweli maana huyu Dr Tixon Nzunda ndio alitujibu, na amecomfirm twende intern bila hela ya kujikimu na ndie katibu wa Wizara husika.Tena kaburi la huyo kichomi waliyempeleka hapo; Anajiita Dr ( kama Presidenti wa mawe, miti na vichuguu) Tixon Nzunda ! Shughuli wanayo , huwa anaongozwa na bichwa lake lenye piihechidii....... simalizii asije kuni beni saa8 maana ndio anachojua tu....
Tumeshafanya haya yote.P
Vet Surgeon, ni lazima uelewe kuwa matatizo yako yatatuliwa na wewe mwenyewe kwa kiasi kikubwa. Nachoweza kuwashauri ni yafuatayo:
1. Fikisheni malalamiko yenu kwa viongozi wenu wa TVSA.
2. Mji'organise wote mfanye utaratibu wa kutuma wawakilishi kwenda Wizara yenye dhamana ya mifugo ili mfikishe malalamiko yenu.