Waziri Ndaki na Katibu (Mifugo) Nzunda, Uhalisia kuhusu kuomba kusitisha mafunzo atimizi (internship) kwa Madaktari wa Mifugo

Waziri Ndaki na Katibu (Mifugo) Nzunda, Uhalisia kuhusu kuomba kusitisha mafunzo atimizi (internship) kwa Madaktari wa Mifugo

Mnajimalize wenyewe! Pambaneni. Tatizo wanataka kujilinganisha MD na vet doctor. Mnyama akizidiwa Dr wa Mifugo anasema chinja usipate hasara, lakini MD hawezi kusema hivyo. Pambaneni. Declare interest ni mtalaamu wa lishe ya mifugo
kwani nini tofauti yake si wote ni madaktari?shida yenu mnataka kuona fani fulani ni bora kuliko nyingine wakati fani zote zinategemeana.achaneni na hulka hizo za kitoto hakuna fani bora kuliko nyingine kama ndivyo mbona wote wako mtaani?
 
P



Vet Surgeon, ni lazima uelewe kuwa matatizo yako yatatuliwa na wewe mwenyewe kwa kiasi kikubwa. Nachoweza kuwashauri ni yafuatayo:
1. Fikisheni malalamiko yenu kwa viongozi wenu wa TVSA.
2. Mji'organise wote mfanye utaratibu wa kutuma wawakilishi kwenda Wizara yenye dhamana ya mifugo ili mfikishe malalamiko yenu.
Shida ipo kwa viongozi wetu hao hao.

Wameshindwa kutusaidia kabisa.
 
Tena kaburi la huyo kichomi waliyempeleka hapo; Anajiita Dr ( kama Presidenti wa mawe, miti na vichuguu) Tixon Nzunda ! Shughuli wanayo , huwa anaongozwa na bichwa lake lenye piihechidii....... simalizii asije kuni beni saa8 maana ndio anachojua tu....
Kweli maana huyu Dr Tixon Nzunda ndio alitujibu, na amecomfirm twende intern bila hela ya kujikimu na ndie katibu wa Wizara husika.

Sijui hanadhani tutaishije intern mwaka mzima bila hela kujikimu.
 
P



Vet Surgeon, ni lazima uelewe kuwa matatizo yako yatatuliwa na wewe mwenyewe kwa kiasi kikubwa. Nachoweza kuwashauri ni yafuatayo:
1. Fikisheni malalamiko yenu kwa viongozi wenu wa TVSA.
2. Mji'organise wote mfanye utaratibu wa kutuma wawakilishi kwenda Wizara yenye dhamana ya mifugo ili mfikishe malalamiko yenu.
Tumeshafanya haya yote.
 
Back
Top Bottom