Tangu awamu ya tano iingie madarakani kuna mabadiliko mengi katika sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya elimu. Binafsi kama mtanzania mzalendo nahuzunishwa na tabia za baadhi ya taasisi za elimu kufanya udanganyifu wa mitihani.
Mhitimu wa darasa la saba anafaulu vipi kwa daraja B na C wakati hajui kusoma na kuandika? Imefikia muda wanafunzi wa darasa la nne baadhi ya shule wanaandikiwa dictation ubaoni na wasimamizi.
Mheshimiwa Waziri ni dhahiri kuwa mchezo huu mchafu unafanyika kutoka wilayani maelekezo hutolewa kwa wasimamizi.
Tabia hii italigharimu taifa mbeleni
Mhitimu wa darasa la saba anafaulu vipi kwa daraja B na C wakati hajui kusoma na kuandika? Imefikia muda wanafunzi wa darasa la nne baadhi ya shule wanaandikiwa dictation ubaoni na wasimamizi.
Mheshimiwa Waziri ni dhahiri kuwa mchezo huu mchafu unafanyika kutoka wilayani maelekezo hutolewa kwa wasimamizi.
Tabia hii italigharimu taifa mbeleni