Waziri Ndugulile tunaomba utusaidie kuhusu PAYPAL

Waziri Ndugulile tunaomba utusaidie kuhusu PAYPAL

B.O.T na Wizara ya Mawasiliano wakiruhusu itawezekana.

Kilichopo sasa hivi wewe unaweza kulipa tu ila kulipwa hela huwezi.

Tunachoomba serikali iruhusu mtu mwenye akaunti ya PAYPAL aweze kulipa na kulipwa kutoka maeneo mbalimbali duniani.
Hili swala tumelipigia kelele humu tangu kabla nchi haijapata UHURU mpaka leo naona hakuna anaejali.
 
Jamaa aliahidi kufanya jambo kuhusu Paypal, Kwahiyo panga pangua za MAMA zimeharibu kila kitu maana ndio kwanza wametupandishia vifurushi.

Nchi ngumu sana hii.
 
Mh. Ndugulile tunaomba utusaidie kupata huduma ya PAYPAL katika nchi yetu.

Tunakukumbusha tu sisi vijana tusio na ajira itatusaidia sana hii huduma.
ameshawasaidia?
Kati ya wabunge wa hovyo nchi hii ni pamoja na NDUGULILE.
huyu jamaa hamna alilofanya kigamboni, just imagine pale ferry watu wanavyopata shida kuvuka, wale waendesha vivuko wanakaa muda watakao, huwezi wahi kazini, .
Meneja wa ferry pale magogoni amelipisha wamachinga na ombaomba na amewapa kibali wafanye biashara ndani ya kivuko ambapo imekuwa kero isiyo elezeka.
Machinga wanajaa kuliko abiria, machinga wanaiba na ku-dhalilisha wanafunzi wa kike toka IFM na CBE,.
Machinga kwa mwezi anamlipa meneja zaidi ya LAKI MOJA, SASA fanya mara miezi 12 mara wamachinga 80 ambao wapo kwa sasa
 
Back
Top Bottom