Waziri Ndumbaro akiri utekelezaji wa Sheria ya 'Plea Bargain' ulikuwa na mapungufu

Waziri Ndumbaro akiri utekelezaji wa Sheria ya 'Plea Bargain' ulikuwa na mapungufu

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1-79.jpg
Waziri wa Sheria na Katiba, Damas Ndumbaro amesema utekelezaji wa Sheria ya Makubaliano ya Kukiri Makosa kwa Watuhumiwa katika kipindi kilichopita ulikuwa na makosa ikiwemo Mkurugenzi wa Mashtaka (DDP) kuhodhi mamlaka yote ya kesi.

Ndumbaro amesema mapungufu mengine ni sheria kutomwangalia mwathirika ambaye anaweza kuwa amedhulumiwa mali zake lakini wakati wa majadiliano DPP anamalizana na Mshtakiwa huku fedha zinazolipwa kwa Plea Bargain zikibaki Serikalini.

Akizungumza kupitia Power Breakfast ya CloudsFM, Waziri Ndumbaro amesema kutokana hilo, Serikali imeandaa mabadiliko ya Sheria yatakayoruhusu Mahakimu na Majaji kutoa hukumu zenye fidia kwa Walalamikaji.

================

 
1-79.jpg
Waziri wa Sheria na Katiba, Damas Ndumbaro amesema utekelezaji wa Sheria ya Makubaliano ya Kukiri Makosa kwa Watuhumiwa katika kipindi kilichopita ulikuwa na makosa ikiwemo Mkurugenzi wa Mashtaka (DDP) kuhodhi mamlaka yote ya kesi.

Ndumbaro amesema mapungufu mengine ni sheria kutomwangalia mwathirika ambaye anaweza kuwa amedhulumiwa mali zake lakini wakati wa majadiliano DPP anamalizana na Mshtakiwa huku fedha zinazolipwa kwa Plea Bargain zikibaki Serikalini.

Akizungumza kupitia Power Breakfast ya CloudsFM, Waziri Ndumbaro amesema kutokana hilo, Serikali imeandaa mabadiliko ya Sheria yatakayoruhusu Mahakimu na Majaji kutoa hukumu zenye fidia kwa Walalamikaji.

================

Kazi ipo!!
 
Si tunachojua Sabaya katoka
 
Back
Top Bottom