Waziri Ndumbaro: Tibaijuka alikosoa mkataba wa bandari, amekamatwa? Asema ukitukana viongozi uhuru wako unaishia hapo

Waziri Ndumbaro: Tibaijuka alikosoa mkataba wa bandari, amekamatwa? Asema ukitukana viongozi uhuru wako unaishia hapo

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Akizungumza katika kongamano la huduma ya msaada wa kisheria na upatikanaji haki kwa wananchi linalofanyika mkoani Arusha jana Alhamisi Agosti 17, Dk Ndumbaro amehoji kutokamatwa kwa Prof. Anna Tibaijuka na wengine ambao wamekosoa mkataba wa bandari. Ndumbaro amesema kukatwa kwa Dkt. Slaa na wengine hakuhusiani na mkataba wa bandari

Ndumbaro amesema kuna watu wanataka kutumia hekima za kimagharibi Tanzania ilhali hapa kumtukana Rais ni kosa.

======

Dkt. Ndumbaro: Nchi zilizoendelea Mtu kuvaa chupi na sidiria wakati wa Summer hiyo ni hekima, sasa Tanzania kufanya hivyo ni hekima?, kila Mtu atakushangaa, sasa kosa letu tunataka kutumia hekima ya kimagharibi kuileta hapa, sisi kwetu kumtukana Rais sio hekima, uchochezi haiwezi kuwa hekima, kuigawa Nchi kwa itikadi mbalimbali haiwezi kuwa umoja

Uhuru wa maoni sio haki pekee ya Binadamu kuna haki nyingine ambazo wakati unatekeleza uhuru wako wa maoni lazima uzingatie hizo nyingine, kuna tofauti kati ya kauli za kukosoa na kauli zinazovunja haki za wengine, kutukana Viongozi na kauli zako zikileta makosa ya jinai uhuru wako unaishia hapo na tutaanza kukushughulikia

Kukamatwa kwa Dkt. Slaa, Mwabukusi na Mdude hakuhusiani na mkataba wa Bandari, kuna Watu walikosoa sana mkataba ule na mmoja ni Prof.Tibaijuka hivi amekamatwa?, na hata juzi alihojiwa na Vyombo vya Habari vya Kimataifa akaendelea kukosoa, ila amekosoa bila kukiuka sheria yoyote

TLS walitoa waraka wao kukosoa, Sungusia ndiye anaongoza TLS na yupo hapa, Sungusia wewe ulikamatwa?, waliofungua kesi ya Bandari kule Mbeya ambao wameiburuza Serikali Mahakamani hakuna aliyekamatwa
 
Huyu hawezi kunyamaza? Eti kimagharibi, ina maana hajui kwamba tunaishi hivi kutokana na juhudi za hao anao waita wamagharibi? Yeye kama yeye so far ameongeza nini kwenye value ya maisha achilia mbali duniani au nchini tuseme kijijini kwao?

Ndio maana nchi inazidi kuwa taabani yaani mtu haweki mezani mipango! Kazi porojo tu mara hili mara lile what is this?
 
Akizungumza katika kongamano la huduma ya msaada wa kisheria na upatikanaji haki kwa wananchi linalofanyika mkoani Arusha jana Alhamisi Agosti 17, Dk Ndumbaro amehoji kutokamatwa kwa Prof. Anna Tibaijuka na wengine ambao wamekosoa mkataba wa bandari. Ndumbaro amesema kukatwa kwa Dkt. Slaa na wengine hakuhusiani na mkataba wa bandari

Ndumbaro amesema kuna watu wanataka kutumia hekima za kimagharibi Tanzania ilhali hapa kumtukana Rais ni kosa.

======

Dkt. Ndumbaro: Nchi zilizoendelea Mtu kuvaa chupi na sidiria wakati wa Summer hiyo ni hekima, sasa Tanzania kufanya hivyo ni hekima?, kila Mtu atakushangaa, sasa kosa letu tunataka kutumia hekima ya kimagharibi kuileta hapa, sisi kwetu kumtukana Rais sio hekima, uchochezi haiwezi kuwa hekima, kuigawa Nchi kwa itikadi mbalimbali haiwezi kuwa umoja

Uhuru wa maoni sio haki pekee ya Binadamu kuna haki nyingine ambazo wakati unatekeleza uhuru wako wa maoni lazima uzingatie hizo nyingine, kuna tofauti kati ya kauli za kukosoa na kauli zinazovunja haki za wengine, kutukana Viongozi na kauli zako zikileta makosa ya jinai uhuru wako unaishia hapo na tutaanza kukushughulikia

Kukamatwa kwa Dkt. Slaa, Mwabukusi na Mdude hakuhusiani na mkataba wa Bandari, kuna Watu walikosoa sana mkataba ule na mmoja ni Prof.Tibaijuka hivi amekamatwa?, na hata juzi alihojiwa na Vyombo vya Habari vya Kimataifa akaendelea kukosoa, ila amekosoa bila kukiuka sheria yoyote

TLS walitoa waraka wao kukosoa, Sungusia ndiye anaongoza TLS na yupo hapa, Sungusia wewe ulikamatwa?, waliofungua kesi ya Bandari kule Mbeya ambao wameiburuza Serikali Mahakamani hakuna aliyekamatwa

Kwa hiyo kosa na Mwambukusi, Mdude na Slaa ni kumtukana Rais, na siyo uhaini? Sasa wameshindwa nini kuwashtaki kwa kosa la kumtukana Rais mpaka wakahangaike na makosa ya kubumba?
 
Akizungumza katika kongamano la huduma ya msaada wa kisheria na upatikanaji haki kwa wananchi linalofanyika mkoani Arusha jana Alhamisi Agosti 17, Dk Ndumbaro amehoji kutokamatwa kwa Prof. Anna Tibaijuka na wengine ambao wamekosoa mkataba wa bandari. Ndumbaro amesema kukatwa kwa Dkt. Slaa na wengine hakuhusiani na mkataba wa bandari

Ndumbaro amesema kuna watu wanataka kutumia hekima za kimagharibi Tanzania ilhali hapa kumtukana Rais ni kosa.

======

Dkt. Ndumbaro: Nchi zilizoendelea Mtu kuvaa chupi na sidiria wakati wa Summer hiyo ni hekima, sasa Tanzania kufanya hivyo ni hekima?, kila Mtu atakushangaa, sasa kosa letu tunataka kutumia hekima ya kimagharibi kuileta hapa, sisi kwetu kumtukana Rais sio hekima, uchochezi haiwezi kuwa hekima, kuigawa Nchi kwa itikadi mbalimbali haiwezi kuwa umoja

Uhuru wa maoni sio haki pekee ya Binadamu kuna haki nyingine ambazo wakati unatekeleza uhuru wako wa maoni lazima uzingatie hizo nyingine, kuna tofauti kati ya kauli za kukosoa na kauli zinazovunja haki za wengine, kutukana Viongozi na kauli zako zikileta makosa ya jinai uhuru wako unaishia hapo na tutaanza kukushughulikia

Kukamatwa kwa Dkt. Slaa, Mwabukusi na Mdude hakuhusiani na mkataba wa Bandari, kuna Watu walikosoa sana mkataba ule na mmoja ni Prof.Tibaijuka hivi amekamatwa?, na hata juzi alihojiwa na Vyombo vya Habari vya Kimataifa akaendelea kukosoa, ila amekosoa bila kukiuka sheria yoyote

TLS walitoa waraka wao kukosoa, Sungusia ndiye anaongoza TLS na yupo hapa, Sungusia wewe ulikamatwa?, waliofungua kesi ya Bandari kule Mbeya ambao wameiburuza Serikali Mahakamani hakuna aliyekamatwa
Sisi tuna Summer kweli? kila siku ni summer tu...jua la utosi. mifano ya kijinga tu.
Ustaarabu wenyewe haujawahi kutufikisha popote.
 
Huyu hawezi kunyamaza? Eti kimagharibi, ina maana hajui kwamba tunaishi hivi kutokana na juhudi za hao anao waita wamagharibi? Yeye kama yeye so far ameongeza nini kwenye value ya maisha achilia mbali duniani au nchini tuseme kijijini kwao?

Ndio maana nchi inazidi kuwa taabani yaani mtu haweki mezani mipango! Kazi porojo tu mara hili mara lile what is this?

Ndumbaro inaonekana ni mtu asiyejitambua.

Hivi kuna nini kinachoigwa toka kwa Mwafrika? Kama hatutaki kuiga ustaarabu wa kimagharibi, na yeye arudi huko Namtumbo. Asitumie gari wala asiishi kwenye nyumba iliyoezekwa bati wala vigae, asivae suruali wala shati, asitumie simu wala umeme, maana hivyo vyote ni vitu vya kimagharibi. Kama hawezi kufanya hivyo, afunge domo lake asiropoke tena.
 
Back
Top Bottom