Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Waziri wa TISS nadhani,kwa sababu alikuwepo Siyovelwa,Munanka,walikuwa wanafanya kazi ya TISS,wote walikuwa wanaitwa Waziri( asiye na) kazi maalum. Minister without portfolio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waziri wa TISS nadhani,kwa sababu alikuwepo Siyovelwa,Munanka,walikuwa wanafanya kazi ya TISS,wote walikuwa wanaitwa Waziri( asiye na) kazi maalum. Minister without portfolio.
Ndiyo,lakini Awamu mpya inaweza kugeuza mambo.TISS ipo chini ya Wizara ya Utumishi na Utawala bora
Kwa nini asiitwe mshauri wa rais kwa mambo ya kijeshi, kwa mfano tu.Minister without portfolio ni jambo la kawaida.probably huwa wanakuwa na majukumu mahsusi ya kumshauri rais.
Sabaya ni jambaziSabaya ana majibu, nini maana ya kazi maalum...
Interested!!! Sasa mkurugenzi wake,katibu na wafanyakazi wengine wa hyo wizara wanakuwa na majukumu gani?Minister without portfolio ni jambo la kawaida.probably huwa wanakuwa na majukumu mahsusi ya kumshauri rais.