bullet
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 1,047
- 543
Du kweli tunae waziri! Yaani hajui lolote kuhusu mitihani kidato cha sita kama imeanza au la? Yaelekea hajui kama huwa kuna mitihani ya aina hiyo! Eti waulize walio ofisini, jamani, yaani mambo ya nyumbani mwako aulizwe mpangaji au mgeni?
This is the highest level of incompetency!!! Alipewa vipi ofisi kubwa kama hiyo? Eti niko NEC what is NEC after all? NEK ndio inakufanya usijue walipa kodi wanataka nini? Jamani katiba mpya ituondolee hawa wabunge mawaziri. Kisha anae wateua kuwa mawaziri awe makini na hao anaowateua. Iko siku tutapopata waziri wa elimu asiyejua kusoma wala kuandika!!
This is the highest level of incompetency!!! Alipewa vipi ofisi kubwa kama hiyo? Eti niko NEC what is NEC after all? NEK ndio inakufanya usijue walipa kodi wanataka nini? Jamani katiba mpya ituondolee hawa wabunge mawaziri. Kisha anae wateua kuwa mawaziri awe makini na hao anaowateua. Iko siku tutapopata waziri wa elimu asiyejua kusoma wala kuandika!!