Waziri Rajab Salum: Nguzo ya Uadilifu na Uzalendo Licha ya Fitina na Propaganda

Waziri Rajab Salum: Nguzo ya Uadilifu na Uzalendo Licha ya Fitina na Propaganda

Kada Mzalendo

Senior Member
Joined
Oct 9, 2024
Posts
142
Reaction score
97
WAZIRI Rajab Salum ameendelea kutekeleza kwa uaminifu maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kupambana na ufisadi na uhujumu uchumi, licha ya kuwepo kwa mashambulizi ya uzushi na propaganda zinazolenga kumchafua.

Wanaharakati wa mitandaoni kama Maria Sarungi, Hilda Newton na wengine, wamelipwa mamilioni na mafisadi ili kumshambulia kwa lengo la kudhoofisha juhudi zake za kutekeleza majukumu ya kumsaidia Mama kusimamia rasilimali za taifa na kuwalinda Watanzania dhidi ya hujuma za kifisadi.

Salum amesimama imara kwa uzalendo na weledi, huku akiendelea kuwanyima usingizi mafisadi kwa bidii.

Wananchi wanapaswa kuunga mkono watu kama Waziri Salum, ambao wanasimamia maslahi ya taifa kwa uadilifu, ili kuhakikisha juhudi zao zinafanikiwa na kulinda uchumi wetu dhidi ya maadui wa maendeleo.

Ndimi Kada Mzalendo
 
Kwanza anatakiwa awe jela kwa ufisadi na wizi wa mali za umma
Kaka, hiyo ni hadithi ya kufikirika. Waziri Salum ni mtu wa kazi, ni mwaminifu kama saa ya mkononi.

Kama angekuwa na mpango wa kuiba mali za umma, basi zingekuwa zimetoweka zote lakini badala yake tunaona Maendeleo Kila Kona hapa nchini.
 
Kaka, hiyo ni hadithi ya kufikirika. Waziri Salum ni mtu wa kazi, ni mwaminifu kama saa ya mkononi.

Kama angekuwa na mpango wa kuiba mali za umma, basi zingekuwa zimetoweka zote lakini badala yake tunaona Maendeleo Kila Kona hapa nchini.
Hayo maendeleo tuonyeshe, mbona sisi huwa hatuyaoni huwa mnayaona nyie peke yenu? wizi umejaa serikalini, matumizi makubwa na anasa ya mali za umma, misafara ya hovyo kila kukicha, teuzi za upendeleo, upotevu wa mapato.
 
WAZIRI Rajab Salum ameendelea kutekeleza kwa uaminifu maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kupambana na ufisadi na uhujumu uchumi, licha ya kuwepo kwa mashambulizi ya uzushi na propaganda zinazolenga kumchafua.

Wanaharakati wa mitandaoni kama Maria Sarungi, Hilda Newton na wengine, wamelipwa mamilioni na mafisadi ili kumshambulia kwa lengo la kudhoofisha juhudi zake za kutekeleza majukumu ya kumsaidia Mama kusimamia rasilimali za taifa na kuwalinda Watanzania dhidi ya hujuma za kifisadi.

Salum amesimama imara kwa uzalendo na weledi, huku akiendelea kuwanyima usingizi mafisadi kwa bidii.

Wananchi wanapaswa kuunga mkono watu kama Waziri Salum, ambao wanasimamia maslahi ya taifa kwa uadilifu, ili kuhakikisha juhudi zao zinafanikiwa na kulinda uchumi wetu dhidi ya maadui wa maendeleo.

Ndimi Kada Mzalendo

View: https://x.com/KatibaMpyaTz_/status/1844079850031841307
 
WAZIRI Rajab Salum ameendelea kutekeleza kwa uaminifu maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kupambana na ufisadi na uhujumu uchumi, licha ya kuwepo kwa mashambulizi ya uzushi na propaganda zinazolenga kumchafua.

Wanaharakati wa mitandaoni kama Maria Sarungi, Hilda Newton na wengine, wamelipwa mamilioni na mafisadi ili kumshambulia kwa lengo la kudhoofisha juhudi zake za kutekeleza majukumu ya kumsaidia Mama kusimamia rasilimali za taifa na kuwalinda Watanzania dhidi ya hujuma za kifisadi.

Salum amesimama imara kwa uzalendo na weledi, huku akiendelea kuwanyima usingizi mafisadi kwa bidii.

Wananchi wanapaswa kuunga mkono watu kama Waziri Salum, ambao wanasimamia maslahi ya taifa kwa uadilifu, ili kuhakikisha juhudi zao zinafanikiwa na kulinda uchumi wetu dhidi ya maadui wa maendeleo.

Ndimi Kada Mzalendo
Na wewe huyo Waziri Rajab Salum amekulipa milioni ngapi kuja kumsafisha humu?
 
Back
Top Bottom